Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Leo kidogo nimecheza mpira sijabutua sana japo imenicost game ya kwanza nimetoa Boko nyingi....Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.
Nilikuwekea mbappe mbavuni kukuonyesha kuwa huo mfumo wako utakuwa ukifungwa sana kutokea pembeni.
Ila hata hvyo nimejitaid kwenda na wewe leo..
Atleast nimeonesha uhai nafika golini napiga shoot