eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.

Nilikuwekea mbappe mbavuni kukuonyesha kuwa huo mfumo wako utakuwa ukifungwa sana kutokea pembeni.
Leo kidogo nimecheza mpira sijabutua sana japo imenicost game ya kwanza nimetoa Boko nyingi....

Ila hata hvyo nimejitaid kwenda na wewe leo..

Atleast nimeonesha uhai nafika golini napiga shoot
 
Nilitaka usipate goli mkuu, kabla ya mechi nilitaka nikwambie ushindi wako pekee leo ni kupata goli 😂.

Nilikuwekea mbappe mbavuni kukuonyesha kuwa huo mfumo wako utakuwa ukifungwa sana kutokea pembeni.
Hili swala la kuniambia nikipata goli ndo ushindi ungelisema aseee ningekukamia haswa haswaaa🤣🤣🤣
 
Washukuriwe Efootball kwa kunipa Pedri leo😃😃😃
 
Leo kidogo nimecheza mpira sijabutua sana japo imenicost game ya kwanza nimetoa Boko nyingi....

Ila hata hvyo nimejitaid kwenda na wewe leo..

Atleast nimeonesha uhai nafika golini napiga shoot
Mwenyewe nimefurahia mechi mkuu, mpira ulikuwa kimbinu zaidi, uzembe kwenye mechi ya kwanza nikaruhusu goli wakati nilitaka usipate goli.
 
Hili swala la kuniambia nikipata goli ndo ushindi ungelisema aseee ningekukamia haswa haswaaa🤣🤣🤣
Mechi ya pili nikasema hii namalizana nae bila kupata goli, naona mtandao wako ukasumbua 😂.
 
Hakika mkuu hata hii game ya mwisho nilitaka tumalize 2-1 ila wakati narudisha mpira kwa kipa ukauwahi 😂.
Hii ya mwisho nilitaka nishinde kabisa ndo maana nikawasha ultra defensive maana wewe uliwasha attack moja nikasema hapa hapa nakaba counter moja imeenda...


Sema Amrabat kaka ulilamba dume🤣🙌
 
Hii ya mwisho nilitaka nishinde kabisa ndo maana nikawasha ultra defensive maana wewe uliwasha attack moja nikasema hapa hapa nakaba counter moja imeenda...


Sema Amrabat kaka ulilamba dume🤣🙌
Sikuwasha mkuu ila nilikuwa nakushambulia sana huenda ndiyomaana ikawaka yenyewe halafu hapa ndo najua kama iliwaka mie nilikuwa nawaza kupata goli lingine tu.
 
Matokeo ya Gasparini Day haya hapa...

Mechi ya pili game iliishia njian mtandao wangu ulikata...

Ila nimefungwa moja na Mungu siaidia nikapata sara moja😃😃😃
Screenshot_20250502-005844_1.jpg
 
Back
Top Bottom