eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Kuna ile situation match ime kolea afu mtu ana kupigia simu data inazima😅😅
Hii hapa,game naongoza na dakika kama unavoona halafu simu ikaita
Screenshot_2025-04-29-17-42-17-705_jp.konami.pesam.jpg
 
Kuna ile situation match ime kolea afu mtu ana kupigia simu data inazima😅😅
Hii ilinikuta katika mechi 2 mfululizo kwenye dvn, bora mechi ya kwanza nilikuwa natafuta sare ila mechi ya pili dakika ya 70 naongoza halafu simu ikapigwa net ikakata 😂.
 
😅unaweza toa tusi kwa sauti, hii tabia anayo wife akiona niko bussy ana piga piga ani haribie
Hiyo siku niliweka do not disturb ila cha ajabu simu iliita ikakwama nikapokonywa mpira nikafungwa ngoma natafuta sare lakini wapi, mechi ya pili mtu akapiga tena network ikakata halafu ndo naongoza 😂.
 
Hiyo siku niliweka do not disturb ila cha ajabu simu iliita ikakwama nikapokonywa mpira nikafungwa ngoma natafuta sare lakini wapi, mechi ya pili mtu akapiga tena network ikakata halafu ndo naongoza 😂.
Ina kera sana
 
😅mbona kikosi kipo sawa kabisa me na 3127 sio mbali
Kaka ni kazi hapo penyewe nipo exhausted alafu kuna card kama za Neymar wa Santos hazipatikan tena pamoja na Villa wa 104 nawakubali kinoma pia kuna Anchorman Pale ambae me nahaha kumpata 😃😃😃ndo maana nimeingia majaribuni
 
Back
Top Bottom