Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
Haha sijawahi kufikiria kununua kikosi wala kununua zile coins kwa cash ,ila naona bora utengeneze maana hata uyu mwenye 3160 bado sio kubwa kiivyo uki kutana nae una mchapa vizuri tu .Wakuu kikosi hiki kinauzwa 26K...
Vip mwenye uzoefu n vikosi vya kununua...
Muda wa kutengeza kikos mimi sina.. ila hichi nimekipenda
Cc NEGAN Razorblade Edo kissy Mr Devil et al
View attachment 3320787