Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 1,076
- 2,998
Umeamkia wapi wewe 😁Matokeo yapo wap?!
Umeamkia wapi wewe 😁Matokeo yapo wap?!
We unatupanga hapa una card za zaman kabisaHamnaa mkuu"🧱
Mnachamba umbea tuu bila matokeoUmeamkia wapi wewe 😁
Fala 😂Mnachamba umbea tuu bila matokeo
Aah familia🤣🤣Fala 😂
It's chai man 😂Aah familia🤣🤣
😃😃😃Namna gani pale Gilberto kapigwa na kuzidiwa possession 😃😃
Sheria ni ileile siyo 😂😃😃Its done man😃😃
Walete tokeo😃
Kama ipi mkuuWe unatupanga hapa una card za zaman kabisa
Constacurta, stoickhov, PedriKama ipi mkuu
Hahaha 🤣 🤣 umenipiga mkuuConstacurta, stoickhov, Pedri
Mimi bado beginner 🤣🤣🤣Kuna mtu atakuja kwenda kwa Jogoo wa Shamba II bila gadi siku aludi na dhahama😃😃😃
Naona umeanza mpira wako sasa😃😃umekutana na masta wa kuvizia😅 huo ndo mchezo wangu na nilikua napenda kwel kucheza na wewe leo😅😅😅😅
Zako au zangu😃😃Mimi bado beginner 🤣🤣🤣
Nlikua nafurahia interceptions tu
Semaa inabidi ntafute striker🤣🤣Zako au zangu😃😃
Owaaa una watu mzee adi Vieiraa big time kheeh🙌Semaa inabidi ntafute striker🤣🤣
Hizi za buree hazifanyi kazii"