eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Sijawai kutana nayo hiyo
Hiyo ipo nahisi hata uwezo wa simu unachangia maana simu ikiwa na joto la kati game linachezeka powa sana,

Simu ikiwa umetoka kufungua game kwa muda huo na ulikuwa huitumii basi kuna uwezekano game ya kwanza kuwa slow kwako,.

Na ukianza ujumbe wa overheat basi kuna baadhi ya simu hujizima data.
 
Back
Top Bottom