kwema kabisa, vip wewKwema apo.
Apo ndiyo huwa sielewi, ila kwangu imewahi kusimama zote ajabu ni kuwa kasi ya mchezo ilinishinda 😂😂 maana kila kitendo kinafanyika haraka mno.Zile bars kusimama vile mpaka uwe na router strong sio
Kutusalimia tusijihisi wapwekeUnawaleta wazee kufanya nini huku mkuu
nakumis pia ila ni kama umenitupa hiviNko njema,
Ni vile nlikumiss.![]()
![]()
au sioooo😄😂😂😂😂
Tumetupana
Sema inabidi nitafte chimbo nkakufiche.au sioooo😄
utatisha sana familia 🥂Sema inabidi nitafte chimbo nkakufiche.
Limeisha hilo.utatisha sana familia 🥂
Mtandao gani huo😃Apo ndiyo huwa sielewi, ila kwangu imewahi kusimama zote ajabu ni kuwa kasi ya mchezo ilinishinda 😂😂 maana kila kitendo kinafanyika haraka mno.
Halotel.Mtandao gani huo😃
Aseee 😃😃Halotel.
Pale town halotel iko stable na ukitaka kulia jaribu yas mwendo wa pole 😂😂Aseee 😃😃
Dah nawaza ni mnara gani huo maana nilishawai chezea karibu na mnara kabisa na haikupanda bars zotePale town halotel iko stable na ukitaka kulia jaribu yas mwendo wa pole 😂😂
Umewahi kuona mpo sehemu moja ila mmoja wenu analalamika network ila akihama alipokaa network inakuwepo..Dah nawaza ni mnara gani huo maana nilishawai chezea karibu na mnara kabisa na haikupanda bars zote
Sijawai kutana nayo hiyoUmewahi kuona mpo sehemu moja ila mmoja wenu analalamika network ila akihama alipokaa network inakuwepo..
Hiyo ipo nahisi hata uwezo wa simu unachangia maana simu ikiwa na joto la kati game linachezeka powa sana,Sijawai kutana nayo hiyo
😂😂😂Mkuu kuna wachezaji hata siwahitaji ( messi, Ronaldo, yamal } hao kwangu hawana nafasi 😂😂😂😂