Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,516
- 30,043
Me siwalingishii sas division one ni kitu cha kusumbua pro😃Tumeanza kuringishiana bagde sio 😂😂
Ona loss hizo ila nimeshangaa points nimepewa nyingi alafu ni promotion match
Me siwalingishii sas division one ni kitu cha kusumbua pro😃Tumeanza kuringishiana bagde sio 😂😂
Kweli wameacha uchaga.. mana nimeona kuna mtu yupo points 2000+ ila akapewa points 23 na haijawahi kutokeaPoints 26 promotion match siku hizi konami wamepunguza uchaga😃😃View attachment 3600733
Eniwei achaneni na loss zangu nimebadilisha formation kama CorrieView attachment 3600735
Hao kuna time wanasaidia wenye uhitaji 😂😂Me siwalingishii sas division one ni kitu cha kusumbua pro😃
Ona loss hizo ila nimeshangaa points nimepewa nyingi alafu ni promotion match
Sindio 😁Upo changanyiken??
Wanakuona ni special group 😂😂😂Sindio 😁
Ila hii rank niliyoipata saivi naijutia 😅💔 kwenye friendlies watu wananikamia balaa wananiona kama pro fulani kumbe hamna mtu 😅
Sijaangalia watu watafika 10000 sasaKweli wameacha uchaga.. mana nimeona kuna mtu yupo points 2000+ ila akapewa points 23 na haijawahi kutokea
Ndo mana watu wamejaza points nyingi saivi kule juu utadhani hackers kumbe sio
Dah nimelia sanaHao kuna time wanasaidia wenye uhitaji 😂😂
Ni fedheha kaka 😅 rank yangu mwenyewe inanitesa saiviWanakuona ni special group 😂😂😂
We fatilia utaona unadhani kwanini Corrie de killer hajawahi fika division 1.Dah nimelia sana
Hiyo hata mimi nkutane na mtu mwenye rank kubwa aagh ni kumkamia tu ..Ni fedheha kaka 😅 rank yangu mwenyewe inanitesa saivi
Kama Phase iliyopita alieishia 1799 alimkosa Timber na saivi wamerahisisha ivo ngoja tuone tu io tar 17Sijaangalia watu watafika 10000 sasa
Hiyo hata mimi nkutane na mtu mwenye rank kubwa aagh ni kumkamia tu ..
😀 usiniharibie mbin ya kumtoa mtu mchezon .Tangu lini
Aliw3k condition very terrible 😀😀View attachment 3600760
Kuna Huyu akaamua kunikomoa sijui aliwaza nini 😅💔
Huyo alitingwa 😂😂😂 aliona kakutana na jiniView attachment 3600760
Kuna Huyu akaamua kunikomoa sijui aliwaza nini 😅💔
Nikajifanya mwamba nikaingia ivo ivo.. likapigwa shuti la mbali De Gea hata hakuliona beki zinaangalia tu 😅💔 nikaona ntoke tu 😅Huyo alitingwa 😂😂😂 aliona kakutana na jini
Elfu tano lazima nikaze asee🤣Sindio 😁
Ila hii rank niliyoipata saivi naijutia 😅💔 kwenye friendlies watu wananikamia balaa wananiona kama pro fulani kumbe hamna mtu 😅
Maliza na fixture ya day 3Wakuu tujitaid kucheza
View attachment 3600888
Round two
View attachment 3600889
Kumar Singh vs Corrie de killer
Edo kissy vs Pelius Mwamba
elnyxvi vs Razorblade
Desaal vs Gilberto_
Kandambili1 vs Selikavu
Pelius Mwamba saa ngap tuguse