Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,832
- 12,155
PF3 iko wapi? 😂😄😄 na nimejielez lazm nijitete
PF3 iko wapi? 😂😄😄 na nimejielez lazm nijitete
😄😄😀 wakinipanga na ww jiandaee kupigwa 7PF3 iko wapi? 😂
Hata mechi ya kwanza nlikua siko powa kuna wamama walikuwa wananisumbua apa ndiyo napoa sahizi😀😀 kaka yan mech ya pili tunachez ila sipo hapo wateja aisee
Ndio napoa saiz
Nitaondoka na park mbili za 1800Oya CR7 anakuja kesho kwenye pack ya portugal najua coins unazo za kutosha tajiri 😂
Apa npo kwa sangoma kupiga ndumba usiokote epicNitaondoka na park mbili za 1800
Sasa dua za nini wakati mm nachukua pack kwa coin 1800Apa npo kwa sangoma kupiga ndumba usiokote epic
😄😄 heee!! Kmbe bora yang mimi mkuuHata mechi ya kwanza nlikua siko powa kuna wamama walikuwa wananisumbua apa ndiyo napoa sahizi
Nmetoka kuspin tayari 😂😂Sasa dua za nini wakati mm nachukua pack kwa coin 1800
Nitaloga kizazi chako chotee aiseeNmetoka kuspin tayari 😂😂
Unaujua uchawi kutoka makete na mbinga 😂😂Nitaloga kizazi chako chotee aisee
Maelezo peleka Maskikhara kule kwa Riki boy 😃😄😄 na nimejielez lazm nijitete
Ndo hapo hana hata PF3PF3 iko wapi? 😂
Unatishia watu kaka😃😄😄😀 wakinipanga na ww jiandaee kupigwa 7
Huyo mchana ndo anakuwepo...Pelius Mwamba saa ngap tuguse
UpoMafundi mtume code
Nipe username yako nikuadd tupandeMafundi mtume code