Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,264
- 29,345
Hili linaweza kuwa kwel mzee😄😄😄Angekuwa nazo asingekuwa anakuja kuchamba umbea humu, ukute alikuwa winga wa kutafuta wacheza PlayStation kwenye ofisi ya mtu ndo apate hela ya kula 😂
Konami wameua ajira za watu 😂🙌
NaamKaka
Unanichoma 😂Mnaziona tackles lakin😅
Mkuu acha nongwa kelele za hela waachie chura, au ka vipi tu display bank statement zetu hapa.Punguza kuchamba tafuta pesa kijana muda haukusubir
Kuchamba umbeya🤣🤣🤣🤣🤣fala sana weweAngekuwa nazo asingekuwa anakuja kuchamba umbea humu, ukute alikuwa winga wa kutafuta wacheza PlayStation kwenye ofisi ya mtu ndo apate hela ya kula 😂
Konami wameua ajira za watu 😂🙌
Sijafungua game bado, nimeamua kupita huku kwanza nipate skills 😂
PpoaKaka
Nitakuchek mchana kama utakuwepo
Aaah nenda championship kapandishe team EPLuwezo kaka, offers ni nyingi mno 😂
Damn fwaak 😂😅Angekuwa nazo asingekuwa anakuja kuchamba umbea humu, ukute alikuwa winga wa kutafuta wacheza PlayStation kwenye ofisi ya mtu ndo apate hela ya kula 😂
Konami wameua ajira za watu 😂🙌
Aah ngoja nichek uwezekano😅Unanichoma 😂
Twende tukamalizie somo kwanza kama uko pazuri
Kaka u jobless pro max acha tu, nisha enda hadi zile league za asia na south AmericaAaah nenda championship kapandishe team EPL
Kuna mechi nilicheza na mtu huko walivyoleta stats kitu cha kwanza kuangalia ilikuwa tackles 😂
Kazi kwel kwel🤣Kaka u jobless pro max acha tu, nisha enda hadi zile league za asia na south America
Kwani ulikula kichwa cha pono? 😂Ili unikute nasinzia unibutue?
Sikuwa naelewa zile settings pale, mtandao wenyewe mgeni nao 😂Siku ile umestream uliweka setting za stream vibaya ilikua haionekani vizuri...
last sibling nisha mfundisha kucheza game za magari na Tekken, imagine nikipata wa kiume😂😅Kazi kwel kwel🤣
Imegine uwe umejisahau umeenda room halafu injury ipo ON 😂Mnaziona tackles lakin😅
Huyo ni kumvungia tu awe anajijibu mwenyewe.Hili linaweza kuwa kwel mzee😄😄😄
Baba babaa 😂🙌Kuchamba umbeya🤣🤣🤣🤣🤣fala sana wewe