eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Yani hawa konami wawe wanaangalia na watu wa kuwapiga hizo script zao 😂.

Nimecheza mechi 6 tu, win 5, loss 1 halafu kuna mmoja nikamfanya mbuzi wa kafara 😂.
👇👇👇
View attachment 3311461
View attachment 3311462

Kuna watu wanasema Tony Adams hana speed, sipingani nao na wala sikubaliani nao ila nimempa kazi muhimu katika mechi ya mwisho.

Beki zipo juu halafu jamaa akapiga mpira mrefu Tony akaanza mfukuzia wakati huo nafikiria nipige tackling au niache maana huwa zinanishinda, jamaa nae akazidi kuupaka mate mpira nikaona bora kula red kwa manufaa ya timu, nikamwambia “Tony kill him” basi kabla jamaa hajaingia kwenye box tony akaitenda kazi vyema 😂.
View attachment 3311482

Hatimae nimemalizana nao kwa siku ya leo na napumzikia hapo kwanza.
👇👇👇
View attachment 3311484
Hizi taarifa mbona sikuziona😃😃 hongera kaka
 
Yani hawa konami wawe wanaangalia na watu wa kuwapiga hizo script zao 😂.

Nimecheza mechi 6 tu, win 5, loss 1 halafu kuna mmoja nikamfanya mbuzi wa kafara 😂.
👇👇👇
View attachment 3311461
View attachment 3311462

Kuna watu wanasema Tony Adams hana speed, sipingani nao na wala sikubaliani nao ila nimempa kazi muhimu katika mechi ya mwisho.

Beki zipo juu halafu jamaa akapiga mpira mrefu Tony akaanza mfukuzia wakati huo nafikiria nipige tackling au niache maana huwa zinanishinda, jamaa nae akazidi kuupaka mate mpira nikaona bora kula red kwa manufaa ya timu, nikamwambia “Tony kill him” basi kabla jamaa hajaingia kwenye box tony akaitenda kazi vyema 😂.
View attachment 3311482

Hatimae nimemalizana nao kwa siku ya leo na napumzikia hapo kwanza.
👇👇👇
View attachment 3311484
Hizo Gp umekosa pa kuzitumia kaka😃😃😃
 
Kesho dah naomba Raphinha asiwe na booster
4n39ar1j0kwe1.jpeg
 
Back
Top Bottom