eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Ukitaka kumfunga LBC miliki mpira umemaliza kazi
Shida siyo umiliki mkuu shida ni pale unapopoteza mpira ni faida jwake maana wachezaji wako wanakuwa wamepanda na ndo makosa yaliyofanyika katika mechi zote.
 
Kila nikipoteza mpira naanza kuhesabu goli, najitahidi sana kutafuta namna ya kukabiliana na LBC.
Possession >LBC
LBC>Quick counter
Quick counter > Possession

Napata sana shida ninapocheza na mtu wa Possession
 
Coins zikifika 500 tu napita na huyu manager.
👇👇👇
IMG-20250423-WA0001.jpg

IMG-20250423-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom