eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mechi zote hizo nilizocheza awamu ya pili niliweka ultra defencive kuanzia dakika ya 1 mpaka 90 😂.
Ukikutana na Edo kissy yeye ni mzee wa Ultra attacking 😂😂😂una mkuta VVD wake namba sita
 
Net mbovu umetoka na Agg ya 6 zero


Eniwei form is temporary but class iz permanent...


Ur to way above my class umethibitisha hilo

Nitakubahatisha tena siku😃😃
Amini mkuu nilikuwa nacheza event kule network ilikuwa kipengele sana kwangu, 4G inapanda kwa kubahatisha.
 
Back
Top Bottom