eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mkuu me natumia Quick counter ndo maana nikikutana na mtu anatumia Possession game nasema kimoyo moyo ameisha huyu😀😀
Tofauti ya Quick counter na possession game ni kwenye transition ndiyomaana inashauriwa kama unataka kupossess vizuri tumia QC.
 
NEGAN nilikusubiri sana ila naona ulikuwa unacheza dvn.

Tusaidie hapa kidogo Selikavu anacheza QC au LBC maana ananikomesha sana na long balls 😂.
Anacheza quick counter sema muoga wa ku press😃

Long ball counter maana yake una maintain defensive shape na ukipata mpira unasumbulia kwa haraka. Kama anavyocheza inter

Quick counter unapress kwa nguvu zote ukipoteza mpira kama man City.
 
Anacheza quick counter sema muoga wa ku press😃

Long ball counter maana yake una maintain defensive shape na ukipata mpira unasumbulia kwa haraka. Kama anavyocheza inter

Quick counter unapress kwa nguvu zote ukipoteza mpira kama man City.
😃😃😃Watu mpo chap nipress natoka kwenye defensive formation mashimo yanakuwa mengi bora nikabe watu kwanza then ndo nipress...

Ukabaji wangu una shida gani mkuu honest opinion??🤲

Namaanisha nibadilishe ama niendelee
 
😃😃😃Watu mpo chap nipress natoka kwenye defensive formation mashimo yanakuwa mengi bora nikabe watu kwanza then ndo nipress...

Ukabaji wangu una shida gani mkuu honest opinion??🤲

Namaanisha nibadilishe ama niendelee
Hauna shida unakaba vizuri sana.
 
Sawaa mkuu kuna mtu anatumia match up na anakaba haraka??


Naona labda Dash ndo utakaba haraka matchup kisang

Au kuna combination inatumika me sijui katika ukabaji
Watu wanachanganya. Unatumia match up kuziwia pass na mashuti opponent akizubaa una dash ku tackle mpira naona wengi wanafanya hivyo.
 
Anacheza quick counter sema muoga wa ku press😃

Long ball counter maana yake una maintain defensive shape na ukipata mpira unasumbulia kwa haraka. Kama anavyocheza inter

Quick counter unapress kwa nguvu zote ukipoteza mpira kama man City.
Na hichi ndo kinafanya nione anatumia LBC ni kunguru sana anachofanya ni kupiga back pass kwa kipa halafu nduki mpira unaukuta kwako 😂.
 
Sawaa mkuu kuna mtu anatumia match up na anakaba haraka??


Naona labda Dash ndo utakaba haraka matchup kisang

Au kuna combination inatumika me sijui katika ukabaji
Siwezi kutumia dash kwenye kukaba aisee.
 
Na hichi ndo kinafanya nione anatumia LBC ni kunguru sana anachofanya ni kupiga back pass kwa kipa halafu nduki mpira unaukuta kwako 😂.
😂😂😂Owaaa kikubwa nimeshinda mpira mzuri nawaachia nyie🤣🤣🤣

Kwanza me mgeni🤣🤣
 
Hii game ilkua ya mtafutano dk za 80 jamaa akaweka attacking full nyuma akabaki mweupe makosaa 😅😅
 

Attachments

  • Screenshot_20250422_212047_eFootball.jpg
    Screenshot_20250422_212047_eFootball.jpg
    399.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom