Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Ukorofi tuu mtu anakaaje kwa Aman😃😃😃Hili jina gani😀
Ukorofi tuu mtu anakaaje kwa Aman😃😃😃Hili jina gani😀
Kanyongorota kabisa 😂@Selikavu amepinda😀
Ndugu mteja salio lako halitoshi kwa sasa salio lako no coin 0😂😂View attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal 😂
View attachment 3467694
Yamal kunyumba 😍
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri 💪
Amna kitu apa😹View attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal 😂
View attachment 3467694
Yamal kunyumba 😍
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri 💪
Naanza kuchanga upya 😂Ndugu mteja salio lako halitoshi kwa sasa salio lako no coin 0😂😂
Safi 😂Amna kitu apa😹
Liache tu 😀Kabla ya ban haijaisha nitalud kwenye jina langu😃😃
Ukaamua uweke AI Professional uzindue kipaji sioView attachment 3467690
View attachment 3467692
Eti wameanza kunizimia taa, hapo nilikuwa natafuta coins 50 ili nipite na kijana Yamal 😂
View attachment 3467694
Yamal kunyumba 😍
View attachment 3467695
Assist
View attachment 3467697
Goal
View attachment 3467698
Kijana mdogo kaanza kazi vizuri 💪
Nikichukua card mpya huwa kabla sijaitumia manually huwa naweka AI legend mkuu hata mechi 3 mfululizo kuangalia namna anavyocheza kwa kuongozwa na AI.Ukaamua uweke AI Professional uzindue kipaji sio
Ngoja niibe jina lako.New name soon siku 90 za kifungo nizitumie kwa ujinga 😃🙌
Owaaa😃😃😃achen bhana😃😃Ngoja niibe jina lako.
Wewe si umebadirsha acha wengine walitumie maana hulitaki 😂Owaaa😃😃😃achen bhana😃😃
Mwenzio uyu Razorblade ata kuelekeza ana tatizo ilo ilo😹Hivi wakuu hili swala la kukaba mbona ni changamoto sana?? Yani unashikilia dash mpaka vidole vinauma ila uyo yamal anapiga chenga goli hadi goli na anafunga. Hakuna njia nyingine ya kukaba? Yani issue ya kukaba inaninyima raha sio siri hadi raha ya game inaisha, sometimes inabidi nifanye tickling kwa hasira naishia kula umeme. Msaada please. Nb. Nipo division 5.
Inaonesha ume delete account