Mr Devil
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 14,905
- 34,435
😅khee hatari hii sija delete ata ,Inaonesha ume delete account View attachment 3468267
😅khee hatari hii sija delete ata ,Inaonesha ume delete account View attachment 3468267
Nitaliludia ban ikiisha 😃😃😃Wewe si umebadirsha acha wengine walitumie maana hulitaki 😂
Kuna Art of defending mkuu lazima ujue namna ya kukaba japo kila mtu anasumbukaHivi wakuu hili swala la kukaba mbona ni changamoto sana?? Yani unashikilia dash mpaka vidole vinauma ila uyo yamal anapiga chenga goli hadi goli na anafunga. Hakuna njia nyingine ya kukaba? Yani issue ya kukaba inaninyima raha sio siri hadi raha ya game inaisha, sometimes inabidi nifanye tickling kwa hasira naishia kula umeme. Msaada please. Nb. Nipo division 5.
Embu tengeneza account nyingine pale pale uzur option ya kuadd account ipo then join group after kuwa umehide details zako... Nitakuwekea link hapa usipate tabu
Account yake ilishakuwa dormant muda mrefu inaonekana alivyolud hawakuliona hilo swala😃😃Inaonesha ume delete account View attachment 3468267
Imekaa dormant muda mrefu jaribu kuingia tena au add account nyingine😅khee hatari hii sija delete ata ,
Wakiwa ndani ya box langu nitumie match up na wakiwa nje ya box langu ndio nitumie dash? Au sijakuelewa mkuu.Kuna Art of defending mkuu lazima ujue namna ya kukaba japo kila mtu anasumbuka
Kwenye AI tumia Dash sana wakiwa nje ya box lako ndo utumie match up....
Kwenye PvP tumia sana match up alafu kaba kwa akili zuia njia pia usikabie mabeki wako wa kati kati tumia sana midfield kukaba kabla mpinzani hajafika golin kwako lengo ni kumantain defensive line back yako isiwe na matobo mengi...
Alafu si ndo unatumia Out wide😃😃😃 tafuta kocha mwingine mkuu.. either wa QC au LBC
Hapo kocha wa QC au LBC umeniacha sijaelewa kitu.Kuna Art of defending mkuu lazima ujue namna ya kukaba japo kila mtu anasumbuka
Kwenye AI tumia Dash sana wakiwa nje ya box lako ndo utumie match up....
Kwenye PvP tumia sana match up alafu kaba kwa akili zuia njia pia usikabie mabeki wako wa kati kati tumia sana midfield kukaba kabla mpinzani hajafika golin kwako lengo ni kumantain defensive line back yako isiwe na matobo mengi...
Alafu si ndo unatumia Out wide😃😃😃 tafuta kocha mwingine mkuu.. either wa QC au LBC
Ukiwa unacheza na AI au computer sio real opponent tumia dash kukaba the wakikaribia box lako achia dash shika match up na Direction kaba njia wasipige mashoot...Wakiwa ndani ya box langu nitumie match up na wakiwa nje ya box langu ndio nitumie dash? Au sijakuelewa mkuu.
Hapo nimekuelewa mkuu shukrani sana nimeongeza kitu, ila changamoto nyingine ukiachia dash ukashika match up mchezaji anakua hamove kama anaganda hapo yamal ndio anapita kama upepo. Ok nitakomaa nao hivyo hivyo.Ukiwa unacheza na AI au computer sio real opponent tumia dash kukaba the wakikaribia box lako achia dash shika match up na Direction kaba njia wasipige mashoot...
Ila ukiwa una. Cheza na mtu tumia match up sana na dash pale tuu ukiwa unawai mpira
Hapo kocha wa QC au LBC umeniacha sijaelewa kitu.
Badilisha pia kocha kama una coins au hela isiyo na matumizi😃Razor atamfunga Negan lin kikosi changu ndio hichi na kocha wangu ndio huyu kwa kikosi hiki formation gani ni nzuri? Kwasababu mimi natumia 4-4-2 na kwa kocha huyu playstyle gani anafit? Au ni hii hii ya wide? View attachment 3468313
Poa mkuu ngoja nimvute mourinho kwani buku 10 kitu gani.Kwenye hili game pia kuna play style zipo tano
quick counter (QC), Possession Game, Long Ball Counter (LBC) Long Ball (LB) na Outwide ambayo unatumia wewe
Sasa kila kocha huwa ana play style yake wako Amorim ni Outwide ambayo watu wanatanua pemben sana katikati kuna Baki hakuna watu...
System nzuri ambazo zipo balanced ni Long Ball Counter na Quick Counter japo wataalamu wanatumia Possession Game vizur na yenyewe ipo balanced (sio kwangu)
Hizi system zinakupa ushambuliaji mzuri pia na kwenye kukaba zipo vizuri
... Kuna makocha wapo saiv pale wawili sema wanatumia style Long Ball Counter huwa tunaifupisha tunaita LBC
Mmoja ni Fabio Capello anauzwa coins 750
Mwingine ni Martinez anauzwa Coins 500
Hiyo QC kocha aliyepo wa style hii Mourinho anauzwa Elfu 10 ya kitanzania
Uwakika mkuu me mwenyewe nilinunua coins kumchukua huyu Wa fabio Cappello nadhan nitamchukua Mourinho sio siku nyingi nae akae pale😃Poa mkuu ngoja nimvute mourinho kwani buku 10 kitu gani.
Sawa mkuu nitakucheki.Uwakika mkuu me mwenyewe nilinunua coins kumchukua huyu Wa fabio Cappello nadhan nitamchukua Mourinho sio siku nyingi nae akae pale😃
Ukihitaji kumnunua Mourinho utaniambia nikupe maelekezo... Njia rahisi ni utumie Tigo Billing
Kwa heshimaKuna Art of defending mkuu lazima ujue namna ya kukaba japo kila mtu anasumbuka
Kwenye AI tumia Dash sana wakiwa nje ya box lako ndo utumie match up....
Kwenye PvP tumia sana match up alafu kaba kwa akili zuia njia pia usikabie mabeki wako wa kati kati tumia sana midfield kukaba kabla mpinzani hajafika golin kwako lengo ni kumantain defensive line back yako isiwe na matobo mengi...
Alafu si ndo unatumia Out wide😃😃😃 tafuta kocha mwingine mkuu.. either wa QC au LBC
Kaka leo ndo nmepata VPNWarld utaniua na LB yanguView attachment 3468284