Taliyah ertex
Member
- Feb 17, 2024
- 18
- 23
πππ€£π€£ tunza coin Konami wana tuchuzaa mzee utanikumbukaHuwezi tuelewa kaka sisi wazee wa haram football πππyan hapa nina coins 520 mpaka week ijayo naona mbali kwel π
Coin kutunza ni mtihani kwakwel ,πππππ€£π€£ tunza coin Konami wana tuchuzaa mzee utanikumbuka
Najua ni ngumu lakini uko mbele week 3 zijazo ni motoCoin kutunza ni mtihani kwakwel ,ππ
Hapo ngoja nichukue huyo kocha then nianze zoez la kutunza coin japo najua siwezi
Aah... Sawa mkuuNajua ni ngumu lakini uko mbele week 3 zijazo ni moto
Leta username mkuu tupandeKutunza coin za efootball ni sawa na kulima shamba la miwa karibu na shule! View attachment 3466671
Ndiyo mkuu.Mlikuwa mnacheza kwenye Laptop
Nimeona pad tuuπNdiyo mkuu.
Duh ni hatariWanangu tutaonana tena baada ya siku tisiniππ
Instagram napatikana kwa Selikavu feel free to check me anytime ππ
Uzuri muda wetu wa Friendly unafahamikaππ
Razorblade na Gilberto tukutane Whatsapp πππ
πΉπΉWazaramo official mmekutana ππ
Hii sasa ndo Kariakoo Derby mpya hakuna mnyonge kwenye Tamboπππ
Ladies and Gentlemen we have a new Kariakoo DerbyπππView attachment 3466493
Maisha haya bila vpn kwenye simu hutoboi, kama vipi tuhamieni Telegram πWameiona kweliπ
Maana hamna namnaπ uzi ulikua unakua wanaturudisha nyumaMaisha haya bila vpn kwenye simu hutoboi, kama vipi tuhamieni Telegram π
Nasikia ni siku 90, aisee ni nyingi sana watu waje tukubaliane tuhamie telegram tuendelee na ratiba zetu mpaka kutakapokaa sawa.Maana hamna namnaπ uzi ulikua unakua wanaturudisha nyuma