Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 😂😂😂Ila wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenu😃😃
Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 😂😂😂Ila wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenu😃😃
Acha sema wote wamenionea kwenye hii update 😂😂😂Na umenyooshwa kwel kwel😃😃😃
Kasoro mimi tuu 😃😃😃Acha sema wote wamenionea kwenye hii update 😂😂😂
Wewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa 😂😂😂Kasoro mimi tuu 😃😃😃
Me nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...😃😃Wewe najua kabisa ulichoka kuwa mteja wangu ukaamua kuingia training ili kufuta uteja na umefanikiwa 😂😂😂
😃😃Negan hawezi labda Mr Devil😂😂😂Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 😂😂😂
C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213Mkuu nilikupa suggestions nyingine uliiona??
Na wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri 😂😂😂Me nilikuambia kuwa tunafanana kila kitu ila tu smart assist ndo inatutenganisha kwa kile kipind ndo maana unanifunga...😃😃
Siku niliyowasha nadhani ndo nikakata uteja😃😃
Hata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe 😂😃😃Negan hawezi labda Mr Devil😂😂😂
Eeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambulizi😃nikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...C ile ya kuanza mashambulizi na attacking midfielder, pia nitumie 4222 au 4213
Me ile siiwezi tangu naanza kucheza game napenda absolute freedom kwenye game playNa wewe ndo ulinisanua maana niliwashaga tu bila kujua ufanyaji kazi wake vizuri 😂😂😂
Akinifunga hiyo hapakaliki humu😅Ila wewe na Negan mkae chini mmalize tofauti zenu😃😃
😃😃😃Cheza nae tuu😃😃 saivi unakaribia nchi ya ahadi😃😃Hata goli 1 tu kwangu itakuwa sherehe 😂
Huyo shetani hanisumbui maana amenifunga baada ya update 😂
Yan hiyo kwake ni bora kuliko hata badge ya division one😃😃Akinifunga hiyo hapakaliki humu😅
Dah ngoja niendelee kujifua😅Huyo najua ipo siku nitamfunga tu ila nitachelewa, hiyo siku ikiwadia anaweza kimbia uzi siku 3 😂😂😂
Ujifue nini wakati anacheza na 177Cm kati kati😃😃Dah ngoja niendelee kujifua😅
Nitajaribu kuifanyia kazi hiyo 4312 nione kama itanipa matokeo mzuriiEeh mkuu maana niliona kwenye mechi unapata shida sana kuanzisha mashambulizi😃nikaona nikupe suggestions ya 4222 au 4312...
Na Kingine now unacheza Long Balls sio possession game au Quick counter wachezaji hawasogei kufata pasi wanakimbilia mbele kwahiyo jitaid uzoee pasi ndefu ni nzuri kwenye kushambulia na kupata muda wa kujiandaa defensively
Utakuwa ukichungulia tu humu 😂Akinifunga hiyo hapakaliki humu😅