Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Ndo ukaze mzee😃😃Unahisi sinatamani kucheza dvn ila we unaelewa simu ilivyokipengele halafu kule ili kutoboa inabidi ukaze mnoo maana siyo poa 😂
Ndo ukaze mzee😃😃Unahisi sinatamani kucheza dvn ila we unaelewa simu ilivyokipengele halafu kule ili kutoboa inabidi ukaze mnoo maana siyo poa 😂
Kule ni unapiga tu puuh goli, game gani sasa 😂Kikubwa Radha😃😃
😂😂 sijawa serious tu ,kupanda kushuka siwezi vumilia aseeFanya hivyo Doue sio wa kuishia Division 2 kama Drogba🤣🤣🤣
Kikubwa umecheza 😃Kule ni unapiga tu puuh goli, game gani sasa 😂
Ila bora acheze tu DLS hili eFootball ni stress tupu 😂😂😂
Bora hao kuliko malaya Imp 😂😂😂Bora Akina Snow....
Jamie na Dada yake je Lannisters wale🤣🤣🤣
Unamuuzia shemeji?Account yangu ya myunani 10K tuu😃😃sina shida mie aje achukue
Dvn sipawezi mkuu... Mara Kuna mda game ya mwisho network tu imeanza kata kistack mara kibao hahahahaMe mwenyewe nipo division 2 Point 1500 huko🤣🤣🤣
Ndiyo mkuu.Selikavu mkuu hii uliyopost ni console sio??
Au Kumar Singh "Mystic falls to New Orleans " 😅 vampire diariesAseee😃😃
Unawaza GOT tuu kama mzee wa From Winterfell to Kings landing
Hii phase nafika 😅 ngoja nikaze vidoleChallenge mpya mfike vs AI division 1 sasa😅
Naanza kuwapigia kelele acheni uvivu😅
Selikavu Kandambili1 Mill broh Gilberto_
Endelea kukaza vidole tu mkuu, utalizoea.Game zuri ila nafungwa hadi nakata tamaa.
Nina week nimeanza kulicheza nilizoea dream league aisee napigwa sasa hivi nacheza na professional huyo isack mda wote anaingia kambani, changamoto niliyonayo kuchenga siwezi pia kuwakaba inakua changamoto sana wenyewe wanapiga chenga na kupress ila mimi siwezi nikigusa tuu wameninyanganya. All in all game zuri.Endelea kukaza vidole tu mkuu, utalizoea.
Aah kumbe una wiki tu mkuu, endelea ujaze hata miezi miwili tayari utakuwa ushalizoea game kaka..Nina week nimeanza kulicheza nilizoea dream league aisee napigwa sasa hivi nacheza na professional huyo isack mda wote anaingia kambani, changamoto niliyonayo kuchenga siwezi pia kuwakaba inakua changamoto sana wenyewe wanapiga chenga na kupress ila mimi siwezi nikigusa tuu wameninyanganya. All in all game zuri.
Niliitoa ngoja nikabebe nijifunze taratbuNdiyo mkuu.
Hiyo siwezi fika hata dvn 3 sahizi mkuu hahahaha....ubaki na ubingwa wakoChallenge mpya mfike vs AI division 1 sasa😅
Naanza kuwapigia kelele acheni uvivu😅
Selikavu Kandambili1 Mill broh Gilberto_
unafungwa ukiwa unacheza pvp, AI au friend matches tu??Game zuri ila nafungwa hadi nakata tamaa.