eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

😅nme mjaribu ila naona ye na bati goal ( goal poacher) kukaa wawili ufanisi una pungua mbele
Goal pocher ni wazuri😃

Cheza na Doue kama second striker chini yao kdg 😃

Sema hapo Raphinha sasa kama hana CMF itabid aanzie nje😃

Kama huu
Screenshot_20250829-184959.png
 
Mimi hapa angalia namba ya wachezaji waliobaki hapo kwenye spine kutoka 250😃😃

Na nimetika hola bila epic hata mmoja nimetoka ha Highlights cards tyuView attachment 3458101

Nikaona niikumbuke Account yangu ya selikavu nikafungua nikatafuta spin 83 pale uwakika nikapata zangu Torres na Baresi shwaaa🤣🤣View attachment 3458106View attachment 3458107
Walau hata hiyo ya Selikavu inabahati kidogo kuliko ya Myunani 😂

Utachagua mwenyewe sasa ipi uifanye main account, kupanga ni kuchagua 😂😂😂

Khalas 😂
 
Walau hata hiyo ya Selikavu inabahati kidogo kuliko ya Myunani 😂

Utachagua mwenyewe sasa ipi uifanye main account, kupanga ni kuchagua 😂😂😂

Khalas 😂
selikavu huwa naikubali mno maana ina watu ambao nawahitaji..

Na now wameniongezea striker asee

Hii ya myunani ijiandae😃😃
 
Back
Top Bottom