Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Mkuu kitu ambacho sijali sana kwa sasa ni kufugwa sababu najua nataka kucheza mpira wa aina gani, japo kufungwa inakera 😂Kitu nimejifunza kwa mkuu Razorblade nafikiri kitu ambacho n muhimu zaidi ni kuujua mfumo wako, kikosi na namna ya kuexecute vitu hivi vitatu kupata ushindi...
Kuna pattern za long pasi, one two, crossing, ball carrying unazirudia hsdi unakuwa vizuri matokeo yatakuja tu...
Ila wewe jana nilitaka nikutoe room, mie nilikutumia invite ili tupeane win kwaajili ya kuchukua rewards na kubadilishana treasure ajabu iliyoje naona unanikanda tu 😂😂😂