eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

It seems match up is matching again😃😃

Or its just improvement in my kabalingi instinct🤣🤣🤣
Huenda wameigusa kidogo ifanye kazi, ukiangalia uhalisia wa beki zinavyokaba sasa hivi ni tackling sana ndiyomaana nao wameipa nguvu tackling.
 
1000026980.png

Kumbe Kuna update tena na hamjasema😂😂🙌
 
Nina mission moja haya ya kufika division one leo ngoja niimalize japo konami wamejua kuninyoosha😃😃


Then nakuludia kaka


Maana kuanzia leo usiku muda wangu wa game utakuwa very limited
Sawa kaka.
 
Back
Top Bottom