Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Yeye aandae ambulance tu 😂Ulikuwa hujaona anakuletea michezo ya kandambili ujae🤣🤣
Yeye aandae ambulance tu 😂Ulikuwa hujaona anakuletea michezo ya kandambili ujae🤣🤣
Halafu Cannavaro mjanja sana anamuachia Beraldo apige tackling za ajabu ajabu 😂😹😹 game yangu na wewe lazima mtu atoke na red mana kukaba ni Buti buti
Inabidi safari hii final iwe live wakuu 😂😃😃😃Kungekuwepo na mtu wa kustream tuangalie asee😃😃
Sasa ndo waingie wenye simu ambazo zinasupport😃😃Inabidi safari hii final iwe live wakuu 😂
Dah hapo sasa ndo kipengele.Sasa ndo waingie wenye simu ambazo zinasupport😃😃
Mkuu awali ya yote huenda nikatakiwa nifute game kisha nilishushe tena, bado sijakuwa na uhakika kama naweza ingia room leo.Sangapi nikupe ushindi maestro
Ooh tusubiri basiMkuu awali ya yote huenda nikatakiwa nifute game kisha nilishushe tena, bado sijakuwa na uhakika kama naweza ingia room leo.
Nikifanikiwa tutakiwasha.Ooh tusubiri basi
Sema match up imerudi nimeanza wawasha tena....nitafika....pvp naona rahisi AI n motoKaza hakuna ukikata tamaa hutoboi me leo nimecheza na point 1733 to 1784 tangu asubuhi saa nne😃😃😃
Nikifika tuu 1784 napigwa au nadraw 😃😃tangu saa nne napambana tuu mwishon kabisa nimesema sasa hii ya mwisho nitaendele mwezi ujao ndo nikashinda😃😃
A wapi hatari ni Kandambili1 the master 😂🙌😹😹kaka saivi umekua na hatari, Baada ya vijana kutaka kukuzoea vibaya
Aha wapi mtaungana na ndugu zenu wakenya😳😂😂Unatolewa leo
Kuanzia Saa 4 na nusu .Tutakipiga usiku