eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

😂😂 tungepata group wasap ingefaa humu kupatana ni ngum sana
Kuna raha ya kutumia Id zetu hizi hizi😃😃 Whatsapp hainogi.. maana kama groups za Whatsapp me Ninazo nyingi tuu za efootball


Sema ni muda saa nne usiku humu ndo kunawaka😃😃ukija hukosi mechi...

Kwa hiyo zoea hiyo mida saa nne usiku kila siku uwepo
 
Kuna raha ya kutumia Id zetu hizi hizi😃😃 Whatsapp hainogi.. maana kama groups za Whatsapp me Ninazo nyingi tuu za efootball


Sema ni muda saa nne usiku humu ndo kunawaka😃😃ukija hukosi mechi...

Kwa hiyo zoea hiyo mida saa nne usiku kila siku uwepo
Au awe anatuangalia online atupe invite
 
Mill broh friendly leo familia.
Umejiandaaje
1000101724.jpg
 
Back
Top Bottom