Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,413
- 27,291
Kuna raha ya kutumia Id zetu hizi hizi😃😃 Whatsapp hainogi.. maana kama groups za Whatsapp me Ninazo nyingi tuu za efootball😂😂 tungepata group wasap ingefaa humu kupatana ni ngum sana
Sema ni muda saa nne usiku humu ndo kunawaka😃😃ukija hukosi mechi...
Kwa hiyo zoea hiyo mida saa nne usiku kila siku uwepo