eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Leo simu imetumika masaa 10+, sijawahi cheza game muda mwingi hivi 😂

Sijawahi shinda goli la namna hii na huenda nisishinde tena kama hivi, sijui nimepigaje yani nimeshangaa naona nyavu zinatikisika 😂😂😂
IMG-20250816-WA0060.jpg

IMG-20250816-WA0061.jpg


Kwa hizi stats nadhani mpira uliochezwa hapo unajulikana
IMG-20250816-WA0059.jpg

IMG-20250816-WA0058.jpg


Jini katoka ila mganga yuko hoi, sasa ndo safari rasmi inaanza 😂😂😂

Napumzika kwanza vidole vinanyevua 😂🙌
 
Leo simu imetumika masaa 10+, sijawahi cheza game muda mwingi hivi 😂

Sijawahi shinda goli la namna hii na huenda nisishinde tena kama hivi, sijui nimepigaje yani nimeshangaa naona nyavu zinatikisika 😂😂😂
View attachment 3443356
View attachment 3443357

Kwa hizi stats nadhani mpira uliochezwa hapo unajulikana
View attachment 3443360
View attachment 3443361

Jini katoka ila mganga yuko hoi, sasa ndo safari rasmi inaanza 😂😂😂

Napumzika kwanza vidole vinanyevua 😂🙌
Bado hujasema🤣🤣
 
Leo simu imetumika masaa 10+, sijawahi cheza game muda mwingi hivi 😂

Sijawahi shinda goli la namna hii na huenda nisishinde tena kama hivi, sijui nimepigaje yani nimeshangaa naona nyavu zinatikisika 😂😂😂
View attachment 3443356
View attachment 3443357

Kwa hizi stats nadhani mpira uliochezwa hapo unajulikana
View attachment 3443360
View attachment 3443361

Jini katoka ila mganga yuko hoi, sasa ndo safari rasmi inaanza 😂😂😂

Napumzika kwanza vidole vinanyevua 😂🙌
eFootball™_2025-08-16-15-30-23.jpg

Nilichogundua bada ya hii update ukipata viberenge wako wawili pale mbele.. kwishaa umeshinda.

Mana Mbappe akipata tu mpira humkuti tena, na saivi nimezoea kucheza na zile One-Two passes 😄

We Razorblade nakuchawia utacheza mechi 50+ ndo uvuke hapo 3 kwenda 2 😅
 
View attachment 3443377
Nilichogundua bada ya hii update ukipata viberenge wako wawili pale mbele.. kwishaa umeshinda.

Mana Mbappe akipata tu mpira humkuti tena, na saivi nimezoea kucheza na zile One-Two passes 😄

We Razorblade nakuchawia utacheza mechi 50+ ndo uvuke hapo 3 kwenda 2 😅
Unionee huruma mkuu, kufika hapo nimehangaika masaa 10+ 😂
 
View attachment 3443377
Nilichogundua bada ya hii update ukipata viberenge wako wawili pale mbele.. kwishaa umeshinda.

Mana Mbappe akipata tu mpira humkuti tena, na saivi nimezoea kucheza na zile One-Two passes 😄

We Razorblade nakuchawia utacheza mechi 50+ ndo uvuke hapo 3 kwenda 2 😅
Kuna mtu nilikutana nae ana Owen na mbappe pale mbele owaa ni balaaa... Nan mimi niliweka mbona🤣🤣
 
Back
Top Bottom