eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mkuu nilikuwa nauhakika na mechi zangu chache tu niende dvn 3 nikaumane, kilichotokea sasa nimeshushwa dvn 5 😂

Kahn kwangu simsemi vibaya anajitahidi ila hili tukio la leo kanifurahisha, yani kaacha goli halafu kaanza kufoka au sijui alikuwa anashangilia alivyopangua lile shuti mpaka muda huu sijamuelewa alikusudia nini 😂😂😂
Hahahaha vita ni kali aisee mpaka division 5😅☠️
 
IMG-20250816-WA0016(1).jpg

Hii card kumbe ni CP, hanifai 🚮
 
Back
Top Bottom