Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,393
Nipo natrain 3 attackers(WF's+CF), naona anashinda yeyote tu 😂ATakaa sawaa tuu ngoja nisikie milio ya Pamela mamtu🤣🤣🤣
Nipo natrain 3 attackers(WF's+CF), naona anashinda yeyote tu 😂ATakaa sawaa tuu ngoja nisikie milio ya Pamela mamtu🤣🤣🤣
Ushawahi kumuweka muarabu wewe? 😂Chagua mmoja sema ya spanish huwa ina mzuka sana sema ndo huelewi kitu🤣🤣
Tano gan tena😃😃Mkuu tupashe nijirudishie Tano zangu 😆😆
Ligi yako hii.. hii update Drogba anafunga sana
Mpaka nizoee formation mpya siyo leo, nimpate Hazard kushoto na Lamine kulia halafu Batigoal katikati daah hatari tupu 😂Ligi yako hii.. hii update Drogba anafunga sana
Maombi ya wadau😃😃Hutaamini ukimuona kwenye first eleven 😂
Kwani zile nilizozipukutisha kipuuzi nilizitunza vipi? 😂
Me nilileft kitambo ningekuwepo ningekuona...Halafu nilikuwa nimeandika Pamela Mamtu 😂😂😂
Sema nikawa nafikiria kukucheki kitambo ila nikaona nivunge kwanza, Konami wamelazimisha iwe jana 😂😂😂
Unanikaba sana hii naona umeniwekea man marking kabisa 😂😂😂Maombi ya wadau😃😃
Mule kinachofanya nisichat ni lugha zao za ajabu 😂Me nilileft kitambo ningekuwepo ningekuona...
Fresh barida tuu 😃Nipo natrain 3 attackers(WF's+CF), naona anashinda yeyote tu 😂
Engara messi 😃😃Ushawahi kumuweka muarabu wewe? 😂
Una moto sheikh😃😃
Mpe moyo tuuLigi yako hii.. hii update Drogba anafunga sana
Hutoboi😃😃Unanikaba sana hii naona umeniwekea man marking kabisa 😂😂😂
Commentary 2 tu ndo naona zinafurahisha, kiarabu na kihispania 😂Engara messi 😃😃
Mkuu nimeanza kuwa sheikh tena? 😂Una moto sheikh😃😃
Kihispaniola ndo naona unyama😃😃Commentary 2 tu ndo naona zinafurahisha, kiarabu na kihispania 😂
Pipa na mfuniko😃😃waleOya hivi huyu Messi wa bure wa update hii na yule wa bure wa 2025 yupi anastats nzuri zaidi?