Chukua ile card mzeeππKwa formation nayotaka kuanza kutumia Drogba anaanzia nje, sasa nikimchukua huyo si nitamuweka reserve kabisa.
Hiyo afu 2 tu naihurumia hapo sema kwa vile sina full back mwenye rate kubwa πChukua ile card mzeeππ
Mapema tu nime set uziNEGAN konami wamekukumbuka na Atletico yakoView attachment 3441337
Kijana MbahiliπHiyo afu 2 tu naihurumia hapo sema kwa vile sina full back mwenye rate kubwa π
Huu uzi ndo unyama sana kuna game plan moja nitaweka Atletico chama langu napenda kila kitu chao kuanzia kukaba mpaka ushambuliajiππMapema tu nime set uzi
Khalas πKijana Mbahiliπ
Mpira wa Diego Simeon ni mbaya sana na siyo modern kabisa yaani ni hekaheka tupu wachezaji laini kama Joao Felix wameushindwa πππHuu uzi ndo unyama sana kuna game plan moja nitaweka Atletico chama langu napenda kila kitu chao kuanzia kukaba mpaka ushambuliajiππ
Kama mlikua hamjui team gan nacheza mpira wake ni Atletico
Wa ajax vipi
Na Mimi nimeshangaa, nahisi wanaweza kutuletea juma tatu au alihamisi.
Wewe si una account mbiliIlinipita Jana, ipo kweli au. Mimi nataka cr 7 wa ....πππ
Mourinho ana hizifox in the box nishawahi kumtumia haalaand mwaka jana ni wakati wa kurudi kutumia fox in the box
Ningemchukua ila anacheza quick counterMourinho ana hiziView attachment 3441480
Na ndo anavuta mkwanja mrefu kuufundishaMpira wa Diego Simeon ni mbaya sana na siyo modern kabisa yaani ni hekaheka tupu wachezaji laini kama Joao Felix wameushindwa πππ
Wa ajax vipi
Nawaza niliud kwenye QcππNingemchukua ila anacheza quick counter
Mourinho ana hiziView attachment 3441480
Mzee upo siriazi hadi Yamal naona yupo ndani ya mjengo mapema tuNingemchukua ila anacheza quick counter