eFootball Special Thread

Huu uzi ndo unyama sana kuna game plan moja nitaweka Atletico chama langu napenda kila kitu chao kuanzia kukaba mpaka ushambuliajiπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Kama mlikua hamjui team gan nacheza mpira wake ni Atletico
Mpira wa Diego Simeon ni mbaya sana na siyo modern kabisa yaani ni hekaheka tupu wachezaji laini kama Joao Felix wameushindwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na Mimi nimeshangaa, nahisi wanaweza kutuletea juma tatu au alihamisi.
Packs nazo mbovuu tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…