eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Amekula chuma akaona afanye kupanda ndege hahaah
😹😹 kaka una niuzi sasa ,sio kila mtu anaweza kushikilia bomba
Screenshot_20250809_233733_eFootball.jpg
 
Amna First half ulishika kiungo yangu mzee kheeh nilipotea kabisa😃😃😃mpka nimelud second half ndo kdg nikatulia alafu me ndo Counter zangu hizo siku hizi ndo maana nacheza na Halaand
😹😹 we na kandambili sio wa kuwnza na mpira ,mkianza na mpira lazima mpige goal
 
Back
Top Bottom