eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Fainal me vs Mr Devil

Fainal ilikuwa ngumu leo maana hakuna mtu aliyetaka kufanya makosa 😃🙌

Good game mkuu Mr Devil ur deserved kuwa Finalists


Game nilianza kwa kumfunga akachomoa tukaanza kutafutana wee dakika za jioni amenichezea Rafu ndani ya box nikapewa tuta nikapiga kamba...😃😃

Mr Devil akapata counter attack dakika ya 92 ikawa offside naona akaamua atoke na room kabisa 😃😃

Me nikapiga zangu la tatu maana huruma sio malezi fainali hii

Screenshot_20250810-224612.png


Screenshot_20250810-224624.png
 
Ila Bingwa una paaa sana asee weka mpira chini 😹😹
Fainal me vs Mr Devil

Fainal ilikuwa ngumu leo maana hakuna mtu aliyetaka kufanya makosa 😃🙌

Good game mkuu Mr Devil ur deserved kuwa Finalists


Game nilianza kwa kumfunga akachomoa tukaanza kutafutana wee dakika za jioni amenichezea Rafu ndani ya box nikapewa tuta nikapiga kamba...😃😃

Mr Devil akapata counter attack dakika ya 92 ikawa offside naona akaamua atoke na room kabisa 😃😃

Me nikapiga zangu la tatu maana huruma sio malezi fainali hii

View attachment 3437882

View attachment 3437884
😹😹ila konami, ilo la 3 limeingia sa ngapi tena
 
Fainal me vs Mr Devil

Fainal ilikuwa ngumu leo maana hakuna mtu aliyetaka kufanya makosa 😃🙌

Good game mkuu Mr Devil ur deserved kuwa Finalists


Game nilianza kwa kumfunga akachomoa tukaanza kutafutana wee dakika za jioni amenichezea Rafu ndani ya box nikapewa tuta nikapiga kamba...😃😃

Mr Devil akapata counter attack dakika ya 92 ikawa offside naona akaamua atoke na room kabisa 😃😃

Me nikapiga zangu la tatu maana huruma sio malezi fainali hii

View attachment 3437882

View attachment 3437884
Amekula chuma akaona afanye kupanda ndege hahaah
 
Back
Top Bottom