eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Sijawahi kuwa na bahati kwa Haaland asee, namtamani kinoma nilimchukua yule wa GP ila hana vingi
Fox in the box ila kwangu anakaa benchi awezi anza mbele ya Bat goal sibebi abiria 😹toka nipate bat goal ana ingiagq sub dk za mwishoo Selikavu
Screenshot_20250810_160021_eFootball.jpg
 
Nilitaka nikucheki saa 8 mambo yaka ingiliana mkuu, jikaze tu iyo baadae badae, kila mtu atafungwa na mimi usiwe na haraka 😹😹😹
Sina haraka ya kufungwa kaka najua nitafungwa nilitaka nicheze mapema kabla ya kuja huku nilipo network ni chenga

Kdg network ikiwa nzuri nipunguze idadi ya magoli
 
Back
Top Bottom