NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Chalanolu hafiki 100?Jana wakati naenda kulala niliacha kazi ya kumpata joao Neves pamoja na Calhanolgu nimeamka nayo asubuhi mapema tu imeisha
View attachment 3308111
Chalanolu hafiki 100?Jana wakati naenda kulala niliacha kazi ya kumpata joao Neves pamoja na Calhanolgu nimeamka nayo asubuhi mapema tu imeisha
View attachment 3308111
Eeh wa tisini na tano kaka hafiki mia huyuChalanolu hafiki 100?
Safi, mtu wa maana kabisaSimu yangu ilikuwa inazingua mkuu 😂.
View attachment 3308093
SAOT.
Konami wanasababisha magemu mengine yaonekane takataka 😂.
Bado kitu kipya hichi, wakati mwingine nazitafuta offside kusudi ili wanichoree huo mstari 😂.Safi, mtu wa maana kabisa
Mbona sioni walichoongeza kwenye hii maintanance au kuna mtu alikuwa field leo 😂.Wakuu maitanaice zinazidi sasa.View attachment 3308391 wengine wanasema wanatuletea gifts,😂
Najutia kum release huyo santos Neymar CF nilikua mpya kwenye game nikahitaji GP haraka nikaona nikimuuza Neymar napa 500K nikam release najuta hadi leo.View attachment 3308513kosi halikui wandugu. Mna spin aje kuwapata legend😎🤏🏿
Sina deep lying forward mwingine mwenye Kasi nimebaki na POTW Rodrygo tu Neymar angenifaa sanaNa huwezi mpata.
View attachment 3308513kosi halikui wandugu. Mna spin aje kuwapata legend😎🤏🏿
Pole sana kaka me namtafuta mno sijui watajichanganya wanipeNajutia kum release huyo santos Neymar CF nilikua mpya kwenye game nikahitaji GP haraka nikaona nikimuuza Neymar napa 500K nikam release najuta hadi leo.
Sema kosi la makombe kabisa hili...View attachment 3308513kosi halikui wandugu. Mna spin aje kuwapata legend😎🤏🏿
Acha tu. Nataka nianze kusave nifikishe coins 10000+ nimpate Totti au Cruyff mwakani sijui nitaweza kusave😃Pole sana kaka me namtafuta mno sijui watajichanganya wanipe
Kaka kusave ni ngumu 😂😂me coin zangu zinaishia sana kwa wale POTW...Acha tu. Nataka nianze kusave nifikishe coins 10000+ nimpate Totti au Cruyff mwakani sijui nitaweza kusave😃
Eti mia ngapi? Hiyo inaitwa honeymoon mara ya kwanza umekata utepe sasa subiri bei za juu kwenye match pass😃.Kaka kusave ni ngumu 😂😂me coin zangu zinaishia sana kwa wale POTW...
Hapa nimefungua match pass ya Value kwa coin miambili wamenipa Joao Neves... Kuna roho inanimbia nitafute mianne nifungue premium wanipe De jong wa mia...
Uzur wa pale unatumia mia nne unaludisha kama mia mbili hivi na vizawadi kibao juu
Iv de jong (aliyepo pale ni Orchestor) nataka apige 6 kwenye formation yangu...
Nimeona anaweza kucheza CB vip atakuwa kama anchor man au naye mpk nimwekee deep line NEGAN
Maana sita yangu namtegemea Rodri ndo anchorman naturally hawa wengine kama Guardiola akicheza nimwekee deep line???
Hata anchorman naona watu wengi wanamuwekea deep line kwenye kuzia inakua kama back 5. Wewe test combo yako kama atakubali basi muweke iapo ana defensive awareness ndogo muweke na box to box kwenye double pivotKaka kusave ni ngumu 😂😂me coin zangu zinaishia sana kwa wale POTW...
Hapa nimefungua match pass ya Value kwa coin miambili wamenipa Joao Neves... Kunahat roho inanimbia nitafute mianne nifungue premium wanipe De jong wa mia...
Uzur wa pale unatumia mia nne unaludisha kama mia mbili hivi na vizawadi kibao juu
Iv de jong (aliyepo pale ni Orchestor) nataka apige 6 kwenye formation yangu...
Nimeona anaweza kucheza CB vip atakuwa kama anchor man au naye mpk nimwekee deep line NEGAN
Maana sita yangu namtegemea Rodri ndo anchorman naturally hawa wengine kama Guardiola akicheza nimwekee deep line???
Gameplay imebadilika sasa hivi passing game ndio meta.Toka maitainance ifanyike napigwa vibaya mno. Yaani hata sijui shida nini?