Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Hafiki 102 huyo.Iv booster ya messi huyu wa 101 ya pili ni ipi??
Nataka nikamtengeneze afike mia na mbili
Hafiki 102 huyo.Iv booster ya messi huyu wa 101 ya pili ni ipi??
Nataka nikamtengeneze afike mia na mbili
Nimetonesha jeraha😂Sikumbuki 😂.
Niache 😂.Nimetonesha jeraha😂
Anafika kaka kuna mtu nilimkuta anae kafika 102 ana booster yake ya pili akifungwa anafikaHafiki 102 huyo.
Legend mm sichezii chifuùNilifungwa nusu fainal aisee, dharau mbaya sana.
Legacy transafer insaidia kuhamisha skills kutoka kwa mchezaji mmoja kwenda...Legacy transfer ina msaada gani
Anhaa! Maana mie naona wengi walienae anaishia 101.Anafika kaka kuna mtu nilimkuta anae kafika 102 ana booster yake ya pili akifungwa anafika
Hata hvyo nimetumia hizo mia kwa baston nimemfunga Shoutdown kafika 101
Ndiyo mkuu.Usiku au?
Simu yangu ilikuwa inazingua mkuu 😂.Unge screenshot mkuu, umenikera sana😂🚮
Hawa wachezaji wa booster mbili huwa wana booster moja specific ambayo akifungiwa anaongezeka...Anhaa! Maana mie naona wengi walienae anaishia 101.
Tatizo ni kuzipata hizo booster halafu zinatumika kwa mchezaji mmoja.Hawa wachezaji wa booster mbili huwa wana booster moja specific ambayo akifungiwa anaongezeka...
Mfano Baston ni Shoutdown nimemfungia kafika 101
Messi nasikia ni Striker instincts
Ukienda dvn na huyo mbappe utateseka, mtie bench mpaka apone 😂.Jana wakati naenda kulala niliacha kazi ya kumpata joao Neves pamoja na Calhanolgu nimeamka nayo asubuhi mapema tu imeisha
View attachment 3308111
Zinasaidia kakaTatizo ni kuzipata hizo booster halafu zinatumika kwa mchezaji mmoja.
Ngoja nitie striker ya magoli harry KaneUkienda dvn na huyo mbappe utateseka, mtie bench mpaka apone 😂.