NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Malizana kwanza na Kandambili 😀😂😂 kandambili apewe negan hadi kipa wake ana dribble
Malizana kwanza na Kandambili 😀😂😂 kandambili apewe negan hadi kipa wake ana dribble
Ungeingia nae room halafu ndo ungejua kwanini nimerusha aviator 😂😂😂Razorblade unarusha sana ndege sio aviator hio
Kwako sitoboi mkuu....hiki kikosi umesaidia sana kuniundia mkuu....shukrani sana.Wakati me nafungwa mlikuwa mnaona ni utani eeh🤣🤣
Aah wap kaka😃😃😃nimecheza na wewe game nyingi haun unoob kaka🤣🤣🤣Mkuu mimi ni noob kabisa....ukiangalia pasi zangu utagundua nabahatisha sana
Acha michezo wewe 😂😂😂Shukrani mkuu...bado najifunza
hahaha nitajitahidi kupanda ndege kuanzia nusu fainali maana ndio tumemaliza mwendo tayari
Kaka najuta 😃😃😃leo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwel😃😃😃hapa tulichezwa🤣🤣🤣Niliwahi gusia hiki wakati Selikavu ana mfundisha trick , match nilio panda nae nikaona uyu ni pro kabisa kasoro kikosi 😹😂 Kandambili1 katuingiza kwenye mtego
Mtego huo😀Acha michezo wewe 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Acha tu kaka naelewa situation yako nimecheza nae siku si nyingiOyaa kiumbe kinatwanga bila huruma halafu mnadema ni noob 😂😂😂
Mtu anachezaga division two na wachezaji wake wa standard😃😃😃Jamaa ana knowledge zote nachunguliaga account yake napita kimya😀
Jamaa hana hata huruma, huenda sub pia zimeniponza 😂Kaka najuta 😃😃😃leo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwel😃😃😃hapa tulichezwa🤣🤣🤣
Mkuu bahati zipo sana...hii bahati leo kukupiga...Sina ujuzi huoAcha michezo wewe 😂😂😂
Nenda kamkabe Puskas mbona unamkimbia🤣🤣😂😂 kandambili apewe negan hadi kipa wake ana dribble
Anajikuta panya, ukute hii account anaitumia huku JF tu 😂😂😂Mtego huo😀
Fainally ukarusha ndege 🤣🤣Imebidi nirushe aviator mkuu, ulikuwa bora sana 😂
Hapa tumepigwa 😂😂😂🤣🤣🤣🤣Acha tu kaka naelewa situation yako nimecheza nae siku si nyingi
Yenyewe 🤣🤣Razorblade unarusha sana ndege sio aviator hio
Haha mkuu mbona umenipiga game kibao tu 🤣🤣 vipigo vinasaidia kujifunzaKaka najuta 😃😃😃leo me ndo wa kuanza kujifunza vitu kwenye mpira wake kwel😃😃😃hapa tulichezwa🤣🤣🤣
Labda kama unamzungumzia Bahati Bukuku 😂😂😂Mkuu bahati zipo sana...hii bahati leo kukupiga...Sina ujuzi huo