Gilberto_
JF-Expert Member
- Aug 29, 2024
- 904
- 2,514
Na haikuhusu 😄Na kwenye hiyo tag mimi sipo 😂
Na haikuhusu 😄Na kwenye hiyo tag mimi sipo 😂
Kweli hainihusu, nimejipendekeza tu 😂Na haikuhusu 😄
Kaza vidole😀Imenisikitisha sana 😂
Hivi mpaka update ya wiki ijayo siwezi kutoboa kweli? 😂
Muda kama huu ndo nilitakiwa niwe nakichafua lakini simu sipo nayo 😂Kaza vidole😀
Free spin itakuwa imenipita 😂Next phase jitoe muhanga kama Selikavu ufike div 1😀
🤣🤣🤣🤣Akili huna kakaBaada ya kukosa kazi ya kufanya 😂
View attachment 3434774
Wengine waliorodheshwa huko chini, nikaja kumvuruga bhana akanidanganya eti Joanah na Intelligent businessman nao wanacheza eFootball, nikamwambia acha kunidanganya 😂😂😂
Jamaa jinga sana hilo, limefukua mambo humu lakini eti halijaona taarifa yangu ya kutumia back 3 😂😂😂🤣🤣🤣🤣Akili huna kaka
Gilberto hana mechi sio😃😃
Kumbe yupo play off, hafai huyo 😂Gilberto hana mechi sio😃😃
Tukusanye watu basi, sijawahi cheza co-op.gilberto ana play off
Coop bila Gilberto mapasi hazinogiKumbe yupo play off, hafai huyo 😂
Saa 5 kamili tucheze 2 vs 2 au 3 vs 3Tukusanye watu basi, sijawahi cheza co-op.