eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mill broh tumalize ili swala ,😹 pitisha vidole kwenye unga usije jitetea mikono ina teleza
FB_IMG_1754564485013.jpg
 
Nimecheza leo mchana Co-Op na ukishinda ni tamu sana, nilipata partner tunaendana matokeo yalikiwa fedheha tumerudi kwenye group hamna anaetaka mazoea 😅😅 ile kitu tamu bana, yakitokea makosa unajua nani kakosea ukamlalamikie.

We kama ukikosa mtu ingia ile ya kwenye event pale PvP inakuwa na reward ukishinda.
Ni tamu kweli bhana baada ya kutomuona NEGAN nikazama na Kandambili1
 
Back
Top Bottom