Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Atalia na kusaga meno😃😃Razorblade hana chake hapa😅
Atalia na kusaga meno😃😃Razorblade hana chake hapa😅
Kesha usije ukalia mbele hukoNafikiria free spin tu, mtanifanya nikeshe dvn nyie 😂
Ngoja nijaribu kukomaa nayo kabla ya update, niache kazi nifanye kazi 😂Division 2 ishakuzoea fanya uhame aisee😅
Ingekuwa simu yenye game niko nayo muda wote huenda ningeingia sana huko, tatizo simu aisee 😂Utabaki wewe tuu🤣🤣🤣
Ngoja nijaribu.Kesha usije ukalia mbele huko
Tatizo me mwezi huu nimebanana mno ningechukua Account nikuchezeeIngekuwa simu yenye game niko nayo muda wote huenda ningeingia sana huko, tatizo simu aisee 😂
Sawa mkuu naomba user name yako twendeGood tu mkuu..
Hata muda huu kama upo free twende tumalize kaka.
Duh hapo sijui tunafanyaje sijui nikupe code tu, mana mi kule nimejaza watu 50.. sijaanza kuchambua wa kupunguzaSawa mkuu naomba user name yako twende
Yes nipe code mkuu...hamna shida.Duh hapo sijui tunafanyaje sijui nikupe code tu, mana mi kule nimejaza watu 50.. sijaanza kuchambua wa kupunguza
Nakutumia code HapoSawa mkuu naomba user name yako twende
41852447Yes nipe code mkuu...hamna shida.
Nakuja41852447
😹😹 picha kutoka kwenye pitchKwahiyo Kandambili1 yupo anaumuka😃😃😃
Kaka🤣🤣🤣😹😹 picha kutoka kwenye pitch View attachment 3434210
Kandambili sio mgeni wa games za mpira maana nilicheza nae wakat bado ana 2800 + nili struggle kumfunga ana cheza kama mtu anae jua ila kikosi kika muangusha 😹Kaka🤣🤣🤣
Na nacheka kama mazuri ila Kandambili1 huko kapeleka moto
Gilberto ndo kaumuka🤣🤣🤣🤣