Warld
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 547
- 1,238
Div 2Ana Badge ya div 1??
Div 2Ana Badge ya div 1??
Honger mkuu push push ufike division 1 update ijayo wanadai kutakuwa na Free spine kwa Watu wa division oneDiv 2
Katika mechi 3 za division mbili ni script siwezi kutoboa.Honger mkuu push push ufike division 1 update ijayo wanadai kutakuwa na Free spine kwa Watu wa division one
Wapinzani hawajatokeaKwahiyo anayeongoza msimamo hajacheza mechi hata moja.
Unakaza tuuKatika mechi 3 za division mbili ni script siwezi kutoboa.
Amani ninayo mkuu wala usiwe na shaka, muda wangu ni kuanzia saa 4.Tuguse sahizi ili uwe na amani.
Dvn 2 mkuu.Ana Badge ya div 1??
Mbona kama unataka kunijaza mkuu 😂Honger mkuu push push ufike division 1 update ijayo wanadai kutakuwa na Free spine kwa Watu wa division one
Razorblade hana chake hapa😅Honger mkuu push push ufike division 1 update ijayo wanadai kutakuwa na Free spine kwa Watu wa division one
Ngoja nipambane.Unakaza tuu
Univizie nikiwa nasinzia 😂😂Amani ninayo mkuu wala usiwe na shaka, muda wangu ni kuanzia saa 4.
Nafikiria free spin tu, mtanifanya nikeshe dvn nyie 😂Razorblade hana chake hapa😅
Hata mimi huo muda huwa nacheza nimalize haraka maana ni muda wa hekaheka kwangu 😂Univizie nikiwa nasinzia 😂😂
Division 2 ishakuzoea fanya uhame aisee😅Nafikiria free spin tu, mtanifanya nikeshe dvn nyie 😂
Naelewa hizi kazi😃😃unakutana na Bale wa 107 pale anasoma 105 hata usihangaike... jiulize tuu hizo zimeongezewa wap😃😃utajua uwanjani 🤣🤣🤣bale anakimbia kama upepoFamilia kabisa wewe code umeielewa😅View attachment 3434080
Utabaki wewe tuu🤣🤣🤣Mbona kama unataka kunijaza mkuu 😂