eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Msimamo After Round one


Kama opponent hakutokea muda husika unakula win game zote...

Mimi na Gilberto ni kesho
IMG_20250805_005728_174.jpg
 
Braza kaka Razorblade habari za Asubuhi 🤣🤣View attachment 3431923
Dah! Ile siku nilisema natumia coins 300 tu ili zibaki 1500, kilichonikuta mpaka sasa nahisi huenda kuna kauchawi konami wanatumia 😂😂😂

Baada ya update ya 2026 nimedhamiria kutunza coins mpaka mwaka unaisha.

I can, I must, I will

Acha nitembee na kauli mbiu yangu ya enzi za shule 😂😂😂
 
Dah! Ile siku nilisema natumia coins 300 tu ili zibaki 1500, kilichonikuta mpaka sasa nahisi huenda kuna kauchawi konami wanatumia 😂😂😂

Baada ya update ya 2026 nimedhamiria kutunza coins mpaka mwaka unaisha.

I can, I must, I will

Acha nitembee na kauli mbiu yangu ya enzi za shule 😂😂😂
Nipo Pale niite Didier Drogba Mavambovic😃😃😃
 
Back
Top Bottom