eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Nyie mnajuana wenyewe ila ikiwa hivi kila mtu atahusisha dharula zake asipotokea, itazalisha hali tofauti na kuleta sintofahamu kwenye ligi.
ndio maana nika uliza wote wawili wasipo tokea matokeo yana kuaje .
Jana alipata dharura hatukucheza😀😀

ila hii haipo kwenye sheria zetu 00:00
 
Sahihi na kwakuwa taarifa haikuwekwa wazi hii hainabudi hiyo mechi ya jana iwe win kwa aliyekuwepo au kwakuwa wote hawakutoa taarifa basi wapewe loss.

Sheria msumeno.
Michezo hii wanangu michezo hiyo kuwen serious
me nikaze vidole mnipe loss🤣🤣🤣nibane mbuppu dakika tisini seriously 😃😃😃


Mna utani nyie🤣🤣🤣🤣

Michezo hiyo michezo hiyo wanangu🤣🤣🤣
Screenshot_20250805-170339.png


Screenshot_20250805-172015.png
 
Sahihi na kwakuwa taarifa haikuwekwa wazi hii hainabudi hiyo mechi ya jana iwe win kwa aliyekuwepo au kwakuwa wote hawakutoa taarifa basi wapewe loss.

Sheria msumeno.
Kaka tuwe serious sasa tuache maskihara...


Taarifa inatakiwa imfikie nani...

Issue ni modalities ya utoaji taarifa ilinifikia mimi kama opponent na co Organizer...


Yan mimi kabisa nisicheze ligi makusudi au Gilberto kheeh


Issue ni kwamba sawaa modalities iliyotumika ndo imeleta shida something which won't happen in the future...


Easy tu brother ni mchezo kama mchezo mwingine just enjoyment
 
Michezo hii wanangu michezo hiyo kuwen serious
me nikaze vidole mnipe loss🤣🤣🤣nibane mbuppu dakika tisini seriously 😃😃😃


Mna utani nyie🤣🤣🤣🤣

Michezo hiyo michezo hiyo wanangu🤣🤣🤣View attachment 3432447

View attachment 3432448
Me nili pitiwa usingizi nimekula siti uko chini afu tukupe point 4 apa😹😹 nafasi ya Razorblade ilkua nikae mimi kabisa nime mkosea sana Bati goal
itabidi Alexander Lukashenko alipie
FB_IMG_1754387755571.jpg
 
ndio maana nika uliza wote wawili wasipo tokea matokeo yana kuaje .


ila hii haipo kwenye sheria zetu 00:00
Kaka Tuliwasiliana nilikuwa na taarifa yake kama Organizer nikamwambia hakuna shida tutacheza kesho mapema


Kama ni big issue basi sio kesi nitaweka draw kote
 
Me nili pitiwa usingizi nimekula siti uko chini afu tukupe point 4 apa😹😹 nafasi ya Razorblade ilkua nikae mimi kabisa nime mkosea sana Bati goal View attachment 3432473
Ulikuwa na room ya kuomba mcheze leo kama mwenzako akikubali fresh


Maana yeye ndo mwenye points

Ulishawai kusema point za mezani hazinogi ingia room uumuke😃😃
 
Ulikuwa na room ya kuomba mcheze leo kama mwenzako akikubali fresh


Maana yeye ndo mwenye points

Ulishawai kusema point za mezani hazinogi ingia room uumuke😃😃
😹 iyo imeisha ata Argentina aliqnza na lose kule saudia ila akaibuka World champion,Tuachane na aya mkuu
 
Game yangu zidi ya Gilberto imekuwa Counted as draw kwa sababu wote wawili hatukutokea msimamo ni kama ufuatavyo
IMG_20250805_174245_475.jpg
 
Michezo hii wanangu michezo hiyo kuwen serious
me nikaze vidole mnipe loss🤣🤣🤣nibane mbuppu dakika tisini seriously 😃😃😃


Mna utani nyie🤣🤣🤣🤣

Michezo hiyo michezo hiyo wanangu🤣🤣🤣View attachment 3432447

View attachment 3432448
Mechi ya pili uli park scania naona 😅
 
Back
Top Bottom