eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Usimsikilize Negan achana nae mtandao wake ulikuwa unazingua...

Alfu muda kucheza nae ni huu kioo bado kibovu😀😀
Acha bhana nakumbuka ulitaka kufanya comeback mchana kweupe, sasahivi unaubonda tofauti na mwanzo ulikuwa unatumia sana ndege 😂.
 
Konami walichonifanyia sina hamu, nilikuwa nimefikisha points 1435 nikawa napiga hesabu bado mechi 3, daah mechi iliyofata nimefungwa wakakata point 29 iliyofata nikapata sare wakakata point 5.

Hiyo script yao inatia hasira ila haijaisha mpaka iishe 😂.
Bila kuchoka😂
 
1000070716.png
Nisubiri update nianze upya.
 
Basi ndo walichonifanyia mkuu na mara 2 nimeletewa watu collective strength za vikosi vyao haifiki 3000 ila wanagonga mali hakuna 😂.

Kuhusu messi mkuu ni kama vile umenitoa usingizini hata sijui niliwaza nini kumuweka kulia, Shukrani sana.
Me napenda kumuweka halaand upande huo ili akienda ameenda
 
Acha bhana nakumbuka ulitaka kufanya comeback mchana kweupe, sasahivi unaubonda tofauti na mwanzo ulikuwa unatumia sana ndege 😂.
Wewe mwenyewe siku ile ulizembea mpka ukajicheka
Mkuu nimebakiza point 67 ila hizi navizia wakati wa mechi za uefa nione kama nitapata wakuwaokota 😂.
Komaa komaa kaka nikipata badge lazima ikae pale kukutia hasira😀😀
 
Nitamtumia Mbappe badala ya Messi.
Unaniiga.. kama una bahati nzuri mtafutie through pass Torres atakusaidia sana akikaa na mbappe..

Alafu striker wako wa akiba jitaid apate supersub...

Me naona zimenisaidia kaka

Through za Torres akiwa na mbappe mbele nyingi zinapita


Alafu drogba alipata supersub akiingia na ule upoacher wake anawasha moto mno

Kila la kheri kaka
 
Unaniiga.. kama una bahati nzuri mtafutie through pass Torres atakusaidia sana akikaa na mbappe..

Alafu striker wako wa akiba jitaid apate supersub...

Me naona zimenisaidia kaka

Through za Torres akiwa na mbappe mbele nyingi zinapita


Alafu drogba alipata supersub akiingia na ule upoacher wake anawasha moto mno

Kila la kheri kaka
Pamoja mkuu.
 
Nilidhani nitakuwa na mood nzuri ya kucheza game badala yake akili inaiwaza Real Madrid tu, nimecheza mechi 2 zote nimefungwa, vidole vizito balaa 😂.
 
Back
Top Bottom