Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Halotel 😡
Nme ku invite tena kumbe usha toka ,
Mkuu umekuwa ukinyang'anya mpira miguuni, bure kabisa leo 😂Icho kikosi nicha siku ile ?
Selikavu Sheria ina ruhusu kuwekewa kikosi B 😹
Mechi ni 1 tu mkuu sasa nikae room nafanya nini na mtandao unanikonyeza.Nme ku invite tena kumbe usha toka ,
Disaster 😅😹😹 3rd WinnerView attachment 3430296
Mkuu hii mechi ulikuwa unashinda 10+ 😂😹😹 3rd WinnerView attachment 3430296
imeisha hiyo mkuu.Ratiba leo itatoka😀
Mechi mida hii ya saa nne mpka saa sita kamili ndo huwa zinachezwa...
Kwahiyo ikifika mida hii njoo umngojee opponent wako
Niacheni tu, kesho nitafute laini nyingine 😂Disaster 😅
😹😹ukaona utafute possession tu mi mipasi ,Mkuu umekuwa ukinyang'anya mpira miguuni, bure kabisa leo 😂
Tumewahi cheza mkuu? Hahahaha....nilikuwa naunda kikosi vipigo bado vipo vingi...utaona kesho.A wapi mkuu we mbabe tunakiwasha mda mwingi😂
Pia imeshindikana maana bado nilikuwa naganda 😂😹😹ukaona utafute possession tu mi mipasi ,
Naingia onlineNimefika muda wenyewe kaka, twenzao
NipoNaingia online
Samsung Ram 4 😂Duh gilberto unagonga pass balaa unatumia simu aina gani😅