Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 12,415
- 27,295
Kachawi chawi tuu😀😀
Kachawi chawi tuu😀😀
Unaweza nunua wewe😀😀Mkuu hizo biti tu pad natolea wapi usiku huu hahahaha
Mkuu nimefikiria sana nimetaka kuandika BabaYaga lakini hapa wataona tu initial name KM 😂Usipoleta nitazidi kukubless mengine Mazuri kutokana na Initial zako 😃😃😃sawaa Mr Kumaliza Maliza (KM)
Mkuu bado nilipo siwezi zipata kwasasa .....ngoja tupambane na vidole tu...Unaweza nunua wewe😀😀
Mkuu man marking jau haipaswi kuwepo.Man marking hiyo ni tactics kama tactics nyingine 😃😃😃
Ila swala la smart assist Phase one nimeona Edo kissy alikula buyu kule chini😃😃 alikubali kishingo upande tuu ila tulijua kumkatili
Wewe wa add watu wote😀😃😃Mkuu nimefikiria sana nimetaka kuandika BabaYaga lakini hapa wataona tu initial name KM 😂
Ila wakija leta matokeo yatumike majina ta huku.
Ratiba leo itatoka😀Mkuu bado nilipo siwezi zipata kwasasa .....ngoja tupambane na vidole tu...
Ratiba tupewe mapema mkuu na tujue mechi zinaanza muda gani kama ni saa 2-5usiku tujue
Ratiba kakaRatiba leo itatoka😀
Mechi mida hii ya saa nne mpka saa sita kamili ndo huwa zinachezwa...
Kwahiyo ikifika mida hii njoo umngojee opponent wako
Tayari nimetuma kwa Mjukuu na Corie, watag kisha wape initial name yangu huko.Wewe wa add watu wote😀😃😃
Haupo mkuu.😹invite
Dah 😂Corrie de killer na Warld kuna kijana tapel kawatumia Request initial zake ni (KM) anatumia Initial kwa sababu jina lake linafahamika akiliweka hapa mama watotot wake atamjua kama anachepuka JF 😃😃😃
Kaka itatumwa baada ya fainali 😃😃😃tukituma now italeta mkanganyikoRatiba kaka