eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Usipoleta nitazidi kukubless mengine Mazuri kutokana na Initial zako 😃😃😃sawaa Mr Kumaliza Maliza (KM)
Mkuu nimefikiria sana nimetaka kuandika BabaYaga lakini hapa wataona tu initial name KM 😂

Ila wakija leta matokeo yatumike majina ta huku.
 
Man marking hiyo ni tactics kama tactics nyingine 😃😃😃


Ila swala la smart assist Phase one nimeona Edo kissy alikula buyu kule chini😃😃 alikubali kishingo upande tuu ila tulijua kumkatili
Mkuu man marking jau haipaswi kuwepo.

Kuhusu smart assist iruhusiwe mwanzoni ila kuanzia robo isiwepo.
 
Mkuu bado nilipo siwezi zipata kwasasa .....ngoja tupambane na vidole tu...

Ratiba tupewe mapema mkuu na tujue mechi zinaanza muda gani kama ni saa 2-5usiku tujue
Ratiba leo itatoka😀

Mechi mida hii ya saa nne mpka saa sita kamili ndo huwa zinachezwa...


Kwahiyo ikifika mida hii njoo umngojee opponent wako
 
Back
Top Bottom