eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

View attachment 3429969
JF Champions League Season two

Season one inaisha leo

Kesho jumatatu tutaanza season two

tutaenda na Format kama ya Uefa

Game Tatu za mwanzo home and Away

Wa kwanza mpaka wa sita wana qualify kwenda robo fainali...

Wa saba mpaka wa 10 wanaenda Playoffs...

Kumi na moja na kumi na mbili wanakuwa wametoka

Watakaopita Playoffs watakuja kuungana na waliopita moja kwa moja...

Tutapiga robo Ijumaa Jumamosi Nusu fainali Jumapili Fainali league inakuwa imeisha...

Tunangojea Efootball 2026 tukishalipata tunaanza tena


Sheria za Ligi..

Mechi za awali ni dakika 10 condition excellent for both, No Extra Time and Penalties

Mtoano utaratibu utabadilika

No hacking na Smart assist ili tuwe sawaa wote

Japo hili la Smart Assist tutalizungumza maana watu walishazoea kucheza nayo kuwabadilisha inaleta shida kdg tunakosa ushindani...


Usipotokea bila sababu ushindi atapewa opponent


Naomben maoni wadau kuhusu ligi yetu

NEGAN Edo kissy Gilberto_ Razorblade Mill broh Mr Devil Waterbender Alexander Lukashenko Corrie de killer Kandambili1 Warld
mkuu nafikiri kuongeza ushindani na kuondoa visingizio smart assist iwepo..

Maana kulikuwa na malalamiko kwa hii phase 1 Kushutumiana kuitumia smart assist na mwingine anakataa...


Kama vile tulivyoruhusu matumizi ya pad nafikiri smart assist iruhusiwe pia kwa pande zote 2.

Kuna wengine tutasema hatutumii lakini kabla ya mechi tutawasha
 
View attachment 3429969
JF Champions League Season two

Season one inaisha leo

Kesho jumatatu tutaanza season two

tutaenda na Format kama ya Uefa

Game Tatu za mwanzo home and Away

Wa kwanza mpaka wa sita wana qualify kwenda robo fainali...

Wa saba mpaka wa 10 wanaenda Playoffs...

Kumi na moja na kumi na mbili wanakuwa wametoka

Watakaopita Playoffs watakuja kuungana na waliopita moja kwa moja...

Tutapiga robo Ijumaa Jumamosi Nusu fainali Jumapili Fainali league inakuwa imeisha...

Tunangojea Efootball 2026 tukishalipata tunaanza tena


Sheria za Ligi..

Mechi za awali ni dakika 10 condition excellent for both, No Extra Time and Penalties

Mtoano utaratibu utabadilika

No hacking na Smart assist ili tuwe sawaa wote

Japo hili la Smart Assist tutalizungumza maana watu walishazoea kucheza nayo kuwabadilisha inaleta shida kdg tunakosa ushindani...


Usipotokea bila sababu ushindi atapewa opponent


Naomben maoni wadau kuhusu ligi yetu

NEGAN Edo kissy Gilberto_ Razorblade Mill broh Mr Devil Waterbender Alexander Lukashenko Corrie de killer Kandambili1 Warld
Sheria haipaswi kubadilishwa, No smart assist No man marking.
 
mkuu nafikiri kuongeza ushindani na kuondoa visingizio smart assist iwepo..

Maana kulikuwa na malalamiko kwa hii phase 1 Kushutumiana kuitumia smart assist na mwingine anakataa...


Kama vile tulivyoruhusu matumizi ya pad nafikiri smart assist iruhusiwe pia kwa pande zote 2.

Kuna wengine tutasema hatutumii lakini kabla ya mechi tutawasha
Smart assist iwepo
 
mkuu nafikiri kuongeza ushindani na kuondoa visingizio smart assist iwepo..

Maana kulikuwa na malalamiko kwa hii phase 1 Kushutumiana kuitumia smart assist na mwingine anakataa...


Kama vile tulivyoruhusu matumizi ya pad nafikiri smart assist iruhusiwe pia kwa pande zote 2.

Kuna wengine tutasema hatutumii lakini kabla ya mechi tutawasha
Braza nangojea league ianze 😃😃tukamkabe Puskas 😃😃


Binafsi ili tusiwanyime watu uhuru acheze tuu na smart assist kama ni mtumiaji sisi wengine tutajifunza kuwazuia
..


Bado napokea maoni kwwnye hili la Smart assist
 
Sheria haipaswi kubadilishwa, No smart assist No man marking.
Man marking hiyo ni tactics kama tactics nyingine 😃😃😃


Ila swala la smart assist Phase one nimeona Edo kissy alikula buyu kule chini😃😃 alikubali kishingo upande tuu ila tulijua kumkatili
 
Braza nangojea league ianze 😃😃tukamkabe Puskas 😃😃


Binafsi ili tusiwanyime watu uhuru acheze tuu na smart assist kama ni mtumiaji sisi wengine tutajifunza kuwazuia
..


Bado napokea maoni kwwnye hili la Smart assist
hakabiki huyo mkuu hahahaha......usishangae kuona sura mpya kwenye kikosi changu ..
 
Back
Top Bottom