Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Ndo mimi natumia vidole sasa kitaeleweka tu 😂Ile ni padi mzee😃😃
Ndo mimi natumia vidole sasa kitaeleweka tu 😂Ile ni padi mzee😃😃
Kuachana uongo kaka, kibunda kibunda kibunda 😂😂😂Ama muachane sio, 😃
Hizo level tutafika tuu ila kwa sasaMimi nataka kujua game, sitaki kucheza game 😂
Kuna watu unaweza kutana nao dvn yani we butua ila yeye akishika mpira kazi unayo, boli linatembea chini tu halafu speed yake ni balaa 😂
Komaaa😃😃😃nikutumie picha yake🤣🤣🤣Kuachana uongo kaka, kibunda kibunda kibunda 😂😂😂
Wakati wewe unasubiria kufika huko mie nimekubali kufungwa sasahivi ili niwaburudishe baadae 😂Hizo level tutafika tuu ila kwa sasa
Mpira Magoli😃😃
Unayo?Komaaa😃😃😃nikutumie picha yake🤣🤣🤣
Ulishaziona zote kijana😃😃😃kama huku ruka nazo basi imekula kwako🤣🤣🤣🤣Unayo?
Embu itume PM kwanza nithaminishe 😂
Mpira magoli kaka burudisha watu lakn shinda...Wakati wewe unasubiria kufika huko mie nimekubali kufungwa sasahivi ili niwaburudishe baadae 😂
We unajua mie kufukua siwezi, embu nibless PM kwanza 😂Ulishaziona zote kijana😃😃😃kama huku ruka nazo basi imekula kwako🤣🤣🤣🤣
SawaaaaMuda ni uleule mkuu kuanzia saa 4 mpaka saa 5:59 😂
Sasa nitakuburudishaje bila kukufunga, yani nataka nikiwa namfunga mtu akasirike hadi atamani kutupa simu 😂😂😂Mpira magoli kaka burudisha watu lakn shinda...
Me nijue kukaba tuu basi nimemaliza 😃😃
😹😹 Razorblade anasema eti we ni opponent mwepesi kuliko wote anaweza cheza kwa mkono mmoja na usi mfunge .😅 tukutane room, kwanza nipe ratiba tuzame muda gani?
Khaaa 😂💔 huyu leo namleta amening'inia.😹😹 Razorblade anasema eti we ni opponent mwepesi kuliko wote anaweza cheza kwa mkono mmoja na usi mfunge .
Kaka unaleta mambo ya morogoro, unanichomolea betri 😂😹😹 Razorblade anasema eti we ni opponent mwepesi kuliko wote anaweza cheza kwa mkono mmoja na usi mfunge .
Khalas 😂Khaaa 😂💔 huyu leo namleta amening'inia.
Anaenda kuuponza 😅
Pow nakuchek 😃We unajua mie kufukua siwezi, embu nibless PM kwanza 😂
Me mwenyewe limeniuma sana🤣🤣🤣😹😹 Razorblade anasema eti we ni opponent mwepesi kuliko wote anaweza cheza kwa mkono mmoja na usi mfunge .
Oyaa lori la mafuta halafu mnachomoa betri 😂Me mwenyewe limeniuma sana🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Sisi ndo wanako sasa huna wana wengine 🤣🤣🤣Oyaa lori la mafuta halafu mnachomoa betri 😂