Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Yule mwana sana aisee 😂Me bora mniue😃😃😃 Siwezi mchezesha🤣🤣🤣
Yule mwana sana aisee 😂Me bora mniue😃😃😃 Siwezi mchezesha🤣🤣🤣
Amekimbia fedheha ila Mill broh kunguru sana 😂Thank you brother ✊✊i appreciate that...
Ila kwann hujatutolea Razorblade kaka🤣🤣🤣
Aaah na hili gundu zitaenda zote hizo halafu niambulie magoroka 😂We nae, kwani Koller haumuoni hapo 😅
Muda ni uleule mkuu kuanzia saa 4 mpaka saa 5:59 😂😅 tukutane room, kwanza nipe ratiba tuzame muda gani?
Mednasah(YouTuber) amenifundisha nicheze bila kutumia cross halafu ndo nijifunze kutumia cross(nalifanyia kazi) 😂😂😂Nimecheza nae mechi takriban elfu mbili na ushee cross alizopiga hazizidi tatu 🤣🤣🤣
Drogba yupi unaemzungumzia mkuu, huyu wangu au kuna mwengine? 😂😂😂Drogba ana speed ya konokono ana turn kama amefungwa mawe kwenye miguu😀
Mpaka sasa sijajua nani atamtoa Drogba kwenye nafasi yake, ngoja nisubiri card zinazokuja 😂Anaweza tumia mwaka mzima kugeuka....😃😃
Ila Razorblade hapo Amefika hasikii aoni😃😃
Yule jamaa anajua sanaMednasah(YouTuber) amenifundisha nicheze bila kutumia cross halafu ndo nijifunze kutumia cross(nalifanyia kazi) 😂😂😂
Didier Drogba wa mia na mbili ambaye konami walimpa Edo Kissy mara mbili🤣🤣Drogba yupi unaemzungumzia mkuu, huyu wangu au kuna mwengine? 😂😂😂
Ndo napenda sasa, ila kutumia haram na drone football naweza vizuri sana ila mpira mbovu kama huo nacheza dvn au nikiwa nahitaji coins kwenye PvP 😂😂😂😅 mtu wa hivyo hatofika popote
Nitamwambia mamtu akishika simu yako amrelease🤣🤣🤣Mpaka sasa sijajua nani atamtoa Drogba kwenye nafasi yake, ngoja nisubiri card zinazokuja 😂
Drone na Haram ni mpira mbovu sio🤣🤣🤣Ndo napenda sasa, ila kutumia haram na drone football naweza vizuri sana ila mpira mbovu kama huo nacheza dvn au nikiwa nahitaji coins kwenye PvP 😂😂😂
Mimi kama mtu wa pwani nikimiliki chombo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa 😂😂😂Ngoja povu lije sasa ila ndo ukwel😃😃
Fala una maneno sana🤣🤣🤣Mimi kama mtu wa pwani nikimiliki chomo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa 😂😂😂
Asubuhi kwenye bao, jioni kwenye kahawa 😂😂😂
Yule jamaa ndo alinifanya nisipende sana cross maana alisema siyo lazima kutumia cross kwenye LBC halafu ukiangalia anatandaza boli safi na habutui hata akifungwa.Yule jamaa anajua sana
Sema ndo hivyo anatumia Console 😃😃
Yule kwangu familiya kabisa, haniangushi 😂Didier Drogba wa mia na mbili ambaye konami walimpa Edo Kissy mara mbili🤣🤣
Itabidi aingie gharama kutafuta kikosi ambacho kina Drogba 😂Nitamwambia mamtu akishika simu yako amrelease🤣🤣🤣
Ile ni padi mzee😃😃Yule jamaa ndo alinifanya nisipende sana cross maana alisema siyo lazima kutumia cross kwenye LBC halafu ukiangalia anatandaza boli safi na habutui hata akifungwa.
Ama muachane sio, 😃Itabidi aingie gharama kutafuta kikosi ambacho kina Drogba 😂
Mimi nataka kujua game, sitaki kucheza game 😂Fala una maneno sana🤣🤣🤣