eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Anaweza tumia mwaka mzima kugeuka....😃😃


Ila Razorblade hapo Amefika hasikii aoni😃😃
Mpaka sasa sijajua nani atamtoa Drogba kwenye nafasi yake, ngoja nisubiri card zinazokuja 😂
 
Ndo napenda sasa, ila kutumia haram na drone football naweza vizuri sana ila mpira mbovu kama huo nacheza dvn au nikiwa nahitaji coins kwenye PvP 😂😂😂
Drone na Haram ni mpira mbovu sio🤣🤣🤣
 
Ngoja povu lije sasa ila ndo ukwel😃😃
Mimi kama mtu wa pwani nikimiliki chombo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa 😂😂😂

Asubuhi kwenye bao, jioni kwenye kahawa 😂😂😂
 
Mimi kama mtu wa pwani nikimiliki chomo na minazi mitatu pamoja na kiti cha kulaza unaongezea na wake wanne baaasi tosha kabisa 😂😂😂

Asubuhi kwenye bao, jioni kwenye kahawa 😂😂😂
Fala una maneno sana🤣🤣🤣
 
Yule jamaa anajua sana


Sema ndo hivyo anatumia Console 😃😃
Yule jamaa ndo alinifanya nisipende sana cross maana alisema siyo lazima kutumia cross kwenye LBC halafu ukiangalia anatandaza boli safi na habutui hata akifungwa.
 
Fala una maneno sana🤣🤣🤣
Mimi nataka kujua game, sitaki kucheza game 😂

Kuna watu unaweza kutana nao dvn yani we butua ila yeye akishika mpira kazi unayo, boli linatembea chini tu halafu speed yake ni balaa 😂
 
Back
Top Bottom