eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Hatimae derby ime pigwa .
Kwa hasira alizo kua nazo Edo kissy nika weka back 5 afu defence nka shusha blue 1 nikijua lazima ata force kuni press sanaa na mimi nikawa natega kupiga long ball counter na through balls , Doue na batistuta nikiwa nime instruct counter target uku puyol na nesta niki instruct defensive 😹

Dk ya 80 ukiwa nyuma goal 2 nazani uli pandisha Full red kama sio red moja kwenye attacking na mimi nka kupandishia Full Red nikijua lazima utakua na wenge 😅😹😹maana izo goal 2 za mwisho zote nilipiga mbele stricker wangu wakawa wame kimbia nyuma ya beki zako zote


Screenshot_20250801_232341_eFootball.jpg
Screenshot_20250801_232355_eFootball.jpg
 
Hatimae derby ime pigwa .
Kwa hasira alizo kua nazo Edo kissy nika weka back 5 afu defence nka shusha blue 1 nikijua lazima ata force kuni press sanaa na mimi nikawa natega kupiga long ball counter na through balls , Doue na batistuta nikiwa nime instruct counter target uku puyol na nesta niki instruct defensive 😹

Dk ya 80 ukiwa nyuma goal 2 nazani uli pandisha Full red kama sio red moja kwenye attacking na mimi nka kupandishia Full Red nikijua lazima utakua na wenge 😅😹😹maana izo goal 2 za mwisho zote nilipiga mbele stricker wangu wakawa wame kimbia nyuma ya beki zako zote


View attachment 3427668View attachment 3427670
Nilikuwa half red Toka mwanzo
 
Hatimae derby ime pigwa .
Kwa hasira alizo kua nazo Edo kissy nika weka back 5 afu defence nka shusha blue 1 nikijua lazima ata force kuni press sanaa na mimi nikawa natega kupiga long ball counter na through balls , Doue na batistuta nikiwa nime instruct counter target uku puyol na nesta niki instruct defensive 😹

Dk ya 80 ukiwa nyuma goal 2 nazani uli pandisha Full red kama sio red moja kwenye attacking na mimi nka kupandishia Full Red nikijua lazima utakua na wenge 😅😹😹maana izo goal 2 za mwisho zote nilipiga mbele stricker wangu wakawa wame kimbia nyuma ya beki zako zote


View attachment 3427668View attachment 3427670
Nilikuwa half red Toka mwanzo
Mkuu Edo kissy mbona umetolewa kinyonge sana.
 
Hatimae derby ime pigwa .
Kwa hasira alizo kua nazo Edo kissy nika weka back 5 afu defence nka shusha blue 1 nikijua lazima ata force kuni press sanaa na mimi nikawa natega kupiga long ball counter na through balls , Doue na batistuta nikiwa nime instruct counter target uku puyol na nesta niki instruct defensive 😹

Dk ya 80 ukiwa nyuma goal 2 nazani uli pandisha Full red kama sio red moja kwenye attacking na mimi nka kupandishia Full Red nikijua lazima utakua na wenge 😅😹😹maana izo goal 2 za mwisho zote nilipiga mbele stricker wangu wakawa wame kimbia nyuma ya beki zako zote


View attachment 3427668View attachment 3427670
Yan mmekimbiana miezi mingapi sijui 😃😃😃
 
Hongereni kwa kumaliza Playoffs

Matokeo ya playoffs ni kama hivi
IMG_20250802_001833_843.jpg


Tunaingia nusu fainali sasa

Game ni mbili...

Dakika 10 condition excellent

Game ya kwanza Penalty off na Extra time off


Game ya pili Penalty On na extra time on


Mshindi ni yule ataongoza aggregate

Nadhan hata kama game ya pili mkiwa draw na game ya kwanza kuna mtu alishinda basi mnaweza mkaishia dakika 90 mkapiga picha matokeo mmoja akatoka
IMG_20250802_001836_934.jpg
 
Hatimae derby ime pigwa .
Kwa hasira alizo kua nazo Edo kissy nika weka back 5 afu defence nka shusha blue 1 nikijua lazima ata force kuni press sanaa na mimi nikawa natega kupiga long ball counter na through balls , Doue na batistuta nikiwa nime instruct counter target uku puyol na nesta niki instruct defensive 😹

Dk ya 80 ukiwa nyuma goal 2 nazani uli pandisha Full red kama sio red moja kwenye attacking na mimi nka kupandishia Full Red nikijua lazima utakua na wenge 😅😹😹maana izo goal 2 za mwisho zote nilipiga mbele stricker wangu wakawa wame kimbia nyuma ya beki zako zote


View attachment 3427668View attachment 3427670
Kama DJ Afro vile 😄 🤣 🔥
 
Hongereni kwa kumaliza Playoffs

Matokeo ya playoffs ni kama hiviView attachment 3427707

Tunaingia nusu fainali sasa

Game ni mbili...

Dakika 10 condition excellent

Game ya kwanza Penalty off na Extra time off


Game ya pili Penalty On na extra time on


Mshindi ni yule ataongoza aggregate

Nadhan hata kama game ya pili mkiwa draw na game ya kwanza kuna mtu alishinda basi mnaweza mkaishia dakika 90 mkapiga picha matokeo mmoja akatoka
View attachment 3427712
Razorblade 😅 njoo tamba mkuu
 
Hongereni kwa kumaliza Playoffs

Matokeo ya playoffs ni kama hiviView attachment 3427707

Tunaingia nusu fainali sasa

Game ni mbili...

Dakika 10 condition excellent

Game ya kwanza Penalty off na Extra time off


Game ya pili Penalty On na extra time on


Mshindi ni yule ataongoza aggregate

Nadhan hata kama game ya pili mkiwa draw na game ya kwanza kuna mtu alishinda basi mnaweza mkaishia dakika 90 mkapiga picha matokeo mmoja akatoka
View attachment 3427712
Khalas 😂
Razorblade 😅 njoo tamba mkuu
Usiombe nikufunge, hutaamini 😂
 
Back
Top Bottom