eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Wajumbe mnakubali vipi wizi kweupe hivi ๐Ÿ˜‚
Niite Karia Mangungu Mill Broh
20250216_164803.jpg
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น kaka usi nifukuzie ndege wangu Edo kissy we cheza kwanza na Mill broh
Mkuu mimi sijitetei hapa ila kchezesha play off katika ya Mr Devil mwenye point 3 na Edo mwenye 0 siyo sawa, kuchezesha play off kati yangu mwenye point 6 na Mill mwenye point 3 siyo sawa.

Hapo Edo anatoka moja kwa moja halafu naenda kama best loser kisha napaswa kusubiri mshindi kati ya Mill na Mr Devil hii ndo itakuwa sawa.

Selikavu anayake tu siyo kwamba haelewi ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom