eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Coin zangu 400 shwaaa

Nikabahatika mwamba kabisa

Jap nilikuwa namtaka VVD
Screenshot_20250802-082004.png
 
Hongereni kwa kumaliza Playoffs

Matokeo ya playoffs ni kama hiviView attachment 3427707

Tunaingia nusu fainali sasa

Game ni mbili...

Dakika 10 condition excellent

Game ya kwanza Penalty off na Extra time off


Game ya pili Penalty On na extra time on


Mshindi ni yule ataongoza aggregate

Nadhan hata kama game ya pili mkiwa draw na game ya kwanza kuna mtu alishinda basi mnaweza mkaishia dakika 90 mkapiga picha matokeo mmoja akatoka
View attachment 3427712
😹😹hii sio haki ilibidi izo match za mwanzo ndio tucheze home and away uku juu ni dk 90 , extra time then penalty .
 
Labda kwenu😃😃me nikicoins 1800 kabla hajaondoka namchukua...


Sema ndo hivyo ashanipita


Ila ngoja tungojee wataalamu kama NEGAN waliyenanaye
Ni mzuri lakini katoka mwaka jana kama una coin bora usubiri pack zainazokuja e football 26
 
Mchukue messi au alishaondoka??
Uchawa kwenye coins zangu sitaki 😂

Siwezi tupa hizo coins kwenye ile pack, angekuwa RMF(Creative playmaker) ningepita nae ila ni RWF(Prolofic winger) hapana.

Kwa sasa nahitaji RMF na LMF pamoja na SS wa asili.
 
Back
Top Bottom