Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Siogopi kaka ila angalia table ilivyo yani mimi nina point 6 halafu nikacheze play off wakati kuna watu wamefungana points na mmoja hana kabisa.Unaogopa playoff kijana😀
Siogopi kaka ila angalia table ilivyo yani mimi nina point 6 halafu nikacheze play off wakati kuna watu wamefungana points na mmoja hana kabisa.Unaogopa playoff kijana😀
Simkimbii mtu mkuu ila kwa hali ya kawaida kimichezo huwezi nipanga kucheza play off wakati kuna mtu hana point kabisa na kuna watu wamefungana pointsMill broh hakimbiwi😀
Ukipita kama best loser wanabaki watatu playoff itachezwa ajeSiogopi kaka ila angalia tabke ilivyo yani mimi nina point 6 halafu nikacheze play off wakati kuna watu wamefungana points na mmoja hana kabisa.
Kwa table ilivyo play off inatakiwa iwe 1 tu hapo kwa hao waliofungana halafu Edo anatoka moja kwa mojaUkipita kama best loser wanabaki watatu playoff itachezwa aje
Nina point 6 unanichezesha play off na mtu anapoint 3 halafu mwenye point 3 acheze na ambaye hana point, haki haipo hapo 😂Selikavu hoja ipo hapa
Kaka league ina watu wachache itakayoanza jumatatu ndo itakuwa fair😁😁Mkuu hapo umezingua, nilitakiwa nipite kama best loser.
Hapo wa mwisho anatakiwa atoke moja kwa moja halafu wa 4 na 5 ndo wacheze play off, kunipanga nicheze play off hapo itakuwa siyo sawa.
Umevipiga vita sanaNjia yangu ilikua ngumu sana😀
Wewe chezesha ligi fair hapo hakuna cha Jumatatu, hii nakata rufaa kabisa 😂Kaka league ina watu wachache itakayoanza jumatatu ndo itakuwa fair😁😁
Anamkimbia Mill Broh Wakati imeandikwa lazima ukakabe back 5 plus full blue bars😃Unaogopa playoff kijana😀
Huyo najua nitakutana nae tu nusu ila kwa kuzingatia matokeo ya sasa haki itendeke 😂Anamkimbia Mill Broh Wakati imeandikwa lazima ukakabe back 5 plus full blue bars😃
Kwan kaka tulikubaliana kutakuwa na best loser😃😃Wewe chezesha ligi fair hapo hakuna cha Jumatatu, hii nakata rufaa kabisa 😂
Mkuu embu chukua hiyo table halafu mpe jirani yako aiangalie 😂Kwan kaka tulikubaliana kutakuwa na best loser😃😃
Mkuu mimi sijitetei hapa ila kchezesha play off katika ya Mr Devil mwenye point 3 na Edo mwenye 0 siyo sawa, kuchezesha play off kati yangu mwenye point 6 na Mill mwenye point 3 siyo sawa.Kivumbi leo 😀 Razorblade View attachment 3426574
😃😃😃Lakin si nilitoa mwongozo mapemaKwa table ilivyo play off inatakiwa iwe 1 tu hapo kwa hao waliofungana halafu Edo anatoka moja kwa moja
Yaani unachezeshaje play off ambayo kuna mtu hana point kabisa 😂
Cheza na mill bro kwanza alafu tutakuja tuzungumze😃😃😃Nina point 6 unanichezesha play off na mtu anapoint 3 halafu mwenye point 3 acheze na ambaye hana point, haki haipo hapo 😂