eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mkuu embu chukua hiyo table halafu mpe jirani yako aiangalie 😂

Wewe unachotaka kuchezesha hakipo ila chuki binafsi 😂
Sasa kaka unataka nibadilishe sheria kisa wewe umefikisha point 6😃😃


Wajumbe niliwaomba huyu mtu abaki huko huko chini asije juu😃😃😃mmemwacha ona anaanza kutamba sasa😃😃
 
Mkuu mimi sijitetei hapa ila kchezesha play off katika ya Mr Devil mwenye point 3 na Edo mwenye 0 siyo sawa, kuchezesha play off kati yangu mwenye point 6 na Mill mwenye point 3 siyo sawa.

Hapo Edo anatoka moja kwa moja halafu naenda kama best loser kisha napaswa kusubiri mshindi kati ya Mill na Mr Devil hii ndo itakuwa sawa.

Selikavu anayake tu siyo kwamba haelewi 😂
Kaka panga unavyotaka iwe hakuna neno... Nitumie niweke hivyo sio kesi😃
 
Ligi ijayo approximately wataongezeka watu wanne.. jumla tutakuwa kumi mfumo utakuwa ni huu huu

Tunaanza na League game tatu/nne

Tunaenda playoffs namba 3 mpaka namba 6

7,8,9 na 10 wanakuwa wameaga
 
Sasa kaka unataka nibadilishe sheria kisa wewe umefikisha point 6😃😃


Wajumbe niliwaomba huyu mtu abaki huko huko chini asije juu😃😃😃mmemwacha ona anaanza kutamba sasa😃😃
Hapo siyo kubadilisha sheria mkuu ila hiyo itakuwa utapeli unafanyika, sheria ya kucheza play off izingatie table 😂

Mimi hata ukiweka tucheze hiyo play off nitacheza ila inakuwa haipo kimichezo ndiyomaana nilipendekeza itumike format ya UEFA.

Mimi hata ningekuwa na point 3 bado huwezi chezesha play off kwa namna table ilivyokaa 😂
 
Ligi ijayo approximately wataongezeka watu wanne.. jumla tutakuwa kumi mfumo utakuwa ni huu huu

Tunaanza na League game tatu/nne

Tunaenda playoffs namba 3 mpaka namba 6

7,8,9 na 10 wanakuwa wameaga
Weka mfumo wa point hii haiko sawa mkuu, idadi ya point kadhaa wanakuwa qualified kwa round inayofata chini ya hapo wanacheza play off kwa kuzingatia idadi ya point na wengine kuwa eliminated direct wakikosa point za kucheza play off.

Bora shindano liwe fupi lakini liwe limeenda sawa kuliko kuwa refu halafu haliko sawa.
 
Tumia format ya UEFA mkuu.

Qualified(Idadi ya point)
Playoff(Idadi ya point)
Eliminated(Kushindwa kufikisha point za playoff)
Kumbe hukufuatilia kaka


Haikuwa idadi ya point ilikuwa ni hivi wa 9 mpaka wa 24 wanacheza playoff


Club Brugge kamaliza na point 11 nafasi ya 24 kapita playoffs

Dinamo Zagreb kamaliza na point 11 nafasi ya 25 katoka


Wewe na point zako 6 best loser okay😃😃😃


Mamiyake 🤣
Screenshot_20250801-071709.png
 
Kumbe hukufuatilia kaka


Haikuwa idadi ya point ilikuwa ni hivi wa 9 mpaka wa 24 wanacheza playoff


Club Brugge kamaliza na point 11 nafasi ya 24 kapita playoffs

Dinamo Zagreb kamaliza na point 11 nafasi ya 25 katoka


Wewe na point zako 6 best loser okay😃😃😃


Mamiyake 🤣
View attachment 3426624
Mkuu unataka koforce, hapo baada ya kufungana point wameangalia Goal Difference na ndo kitu ambacho nilitaka niseme pia 😂
IMG-20250130-WA0011.jpg


Weka hizo play off tucheze hakuna tatizo 😂
 
Wakuu polen na match za leo kwa wale mliofanikiwa kucheza Hongeren ...

Kwa wale wa point za mezani sina cha kuwaambia🤣🤣

Matokeo ya leo ni hayaView attachment 3426563

Msimamo View attachment 3426564


Hatua inayofata ni playoffs kama ambavyo nilitoa ratiba itakavyokuwa kulingana na msimamo mechi za playoffs ni zifuatazoView attachment 3426568
😅😅 mtu na points zake 6 anapambania playoff..

Razorblade tupo pamoja na wewe mpaka utoke 😂
 
Mkuu unataka koforce, hapo baada ya kufungana point wameangalia Goal Difference na ndo kitu ambacho nilitaka niseme pia 😂
View attachment 3426649

Weka hizo play off tucheze hakuna tatizo 😂
Siforce kaka nimekuelezea

Huyo mtu unayesema hana point kikanuni alikuwa na point 3 na magoli matatu ya siku ya kwanza kwa sababu opponent hakutokea lakin alikubali kucheza siku inayofata....

Bado game yake moja hakucheza na alikuwa na room ya kucheza lakin akaomba opponent apewe point

Kwahiyo issue sio point kaka ni mfumo tulivyokubaliana
 
Siforce kaka nimekuelezea

Huyo mtu unayesema hana point kikanuni alikuwa na point 3 na magoli matatu ya siku ya kwanza kwa sababu opponent hakutokea lakin alikubali kucheza siku inayofata....

Bado game yake moja hakucheza na alikuwa na room ya kucheza lakin akaomba opponent apewe point

Kwahiyo issue sio point kaka ni mfumo tulivyokubaliana
Sasa hili ni kosa la promoter kutosimamia vizuri, tulikubaliana mwisho kucheza ni saa 6:00

Kama ungefata sheria ya muda wa mechi haya yasingejitokeza 😂
 
Sasa hili ni kosa la promoter kutosimamia vizuri, tulikubaliana mwisho kucheza ni saa 6:00

Kama ungefata sheria ya muda wa mechi haya yasingejitokeza 😂
Ndo league imeanza mkuu muda mwingine tunatumia busara..

Point za mezani hazinogi😃😃 ingia room uumuke
 
Mill broh me shabiki yako kaka😃😃


Ukikosa muda nipe account yako nicheze nae nimwekee back five na full blue bars game ikianza 😃😃😃

Lazima akabe back 5😃😃😃
 
Back
Top Bottom