eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Selikavu nilisahau kubadilisha lile jina la vita la online match😀
Screenshot_20250731_233403_eFootball.jpg
 
Wakuu polen na match za leo kwa wale mliofanikiwa kucheza Hongeren ...

Kwa wale wa point za mezani sina cha kuwaambia🤣🤣

Matokeo ya leo ni haya
IMG_20250801_000336_214.jpg


Msimamo
IMG_20250801_000332_632.jpg



Hatua inayofata ni playoffs kama ambavyo nilitoa ratiba itakavyokuwa kulingana na msimamo mechi za playoffs ni zifuatazo
IMG_20250801_000328_502.jpg
 
Wakuu polen na match za leo kwa wale mliofanikiwa kucheza Hongeren ...

Kwa wale wa point za mezani sina cha kuwaambia🤣🤣

Matokeo ya leo ni hayaView attachment 3426563

Msimamo View attachment 3426564


Hatua inayofata ni playoffs kama ambavyo nilitoa ratiba itakavyokuwa kulingana na msimamo mechi za playoffs ni zifuatazoView attachment 3426568
Mkuu hapo umezingua, nilitakiwa nipite kama best loser.

Hapo wa mwisho anatakiwa atoke moja kwa moja halafu wa 4 na 5 ndo wacheze play off, kunipanga nicheze play off hapo itakuwa siyo sawa.
 
Back
Top Bottom